Msaada: Namna ya kupata line ya Tigo Pesa, M-Pesa na Airtel Money?

Msaada: Namna ya kupata line ya Tigo Pesa, M-Pesa na Airtel Money?

muhubiri mpya

Member
Joined
Sep 14, 2019
Posts
20
Reaction score
12
Wakuu hapo juu kichwa cha habari chajieleza. Naomba msaada namna ya kupata line mpya kwa ajili ya kufanya biashara. Naomba kuelewa utaratibu upoje, pia kwa mtu anayeuza naomba bei na maelekezo mengine.

Asanteni sana.
 
Wakuu hapo juu kichwa cha habari chajieleza. Naomba msaada namna ya kupata line mpya kwa ajili ya kufanya biashara. Naomba kuelewa utaratibu upoje, pia kwa mtu anayeuza naomba bei na maelekezo mengine.

Asanteni sana.
Kwa tigo, voda unatakiwa upaleke tin no, leseni na kitambulisho chako lkn kwa airtel na mitandao mingine ongezea na barua kutok serikali ya mtaa kwisha kazi ndani ya wiki tatu unaline zako zote? Una swali lingine?
 
Wakuu hapo juu kichwa cha habari chajieleza. Naomba msaada namna ya kupata line mpya kwa ajili ya kufanya biashara. Naomba kuelewa utaratibu upoje, pia kwa mtu anayeuza naomba bei na maelekezo mengine.

Asanteni sana.
Kupata laini za uwakala
1.Uwe na Tin namba
2.Leseni ya biashara
3.Kitambulisho cha uraia (kusajili)
4.Tax clearance
Hizo ndio attachment zinatakiwa uweze kupata leseni
Au tembelea Tigo-shop/Voda shop/Airtel shop/Halo shop zilizo karibu yako kwa maelekezo lakini lazima uwe na vigezo tajwa hapo juu (uwe na biashara halali yenye vigezo)
 
Wakuu hapo juu kichwa cha habari chajieleza. Naomba msaada namna ya kupata line mpya kwa ajili ya kufanya biashara. Naomba kuelewa utaratibu upoje, pia kwa mtu anayeuza naomba bei na maelekezo mengine.

Asanteni sana.
Kununua kwa mtu lazima ujiridhishe kama ni mwaminifu
 
Nashukuru sana mkuu
Kwa tigo, voda unatakiwa upaleke tin no, leseni na kitambulisho chako lkn kwa airtel na mitandao mingine ongezea na barua kutok serikali ya mtaa kwisha kazi ndani ya wiki tatu unaline zako zote? Una swali lingine?
Nashukuru sana mkuu,nipo Dar je hizo barua napeleka sehemu gani?
 
Kupata laini za uwakala
1.Uwe na Tin namba
2.Leseni ya biashara
3.Kitambulisho cha uraia (kusajili)
4.Tax clearance
Hizo ndio attachment zinatakiwa uweze kupata leseni
Au tembelea Tigo-shop/Voda shop/Airtel shop/Halo shop zilizo karibu yako kwa maelekezo lakini lazima uwe na vigezo tajwa hapo juu (uwe na biashara halali yenye vigezo)
Good
 
Nashukuru sana mkuu
Nashukuru sana mkuu,nipo Dar je hizo barua napeleka sehemu gani?
Hii kazi ni ya Siku moja tena haifikishi hata masaa matatu kwa airtel nenda kwenye airtel shop yao ambayo iko jirani na wewe uhakikishe uwe na tin, leseni ya biashara kitambulisho cha uraia.

Barua kutoka serikali ya mtaa na passport size picha moja ukitoka hapo nenda makao makuu ya voda wako bagamoyo road acha documents hizo hapo juu kama hazijagongwa mhuri wa mwanasheria watakutoza 15000 kwa ajili ya huduma hiyo ukimaliza voda pitia haloshop ipo mbele ya vodacome kama unaelekea Victoria/ makumbusho acha detail ukimaliza hapo nenda makumbusho tigo shop watakupa no ya wakala mkuu kulingana na unapofanyia biashara yako.

Ukitoka tigo unaingia ttcl wako pale sayansi kijitonyama ukimaliza hapo unarudi hapa zantel wapo shopez napo unaacha detail nadhan kwa Siku utatumia masaaa 2-matatu na hiyo mitandao 6 nadhan ndio inayofanya huduma ya kutoa pesa hapa nchini? Ila kwa taadhari kuwa na angalau balance ya 70000 unapokua unapeleka hizo document maaana chochote kinaweza kutokea
 
Kupata laini za uwakala
1.Uwe na Tin namba
2.Leseni ya biashara
3.Kitambulisho cha uraia (kusajili)
4.Tax clearance
Hizo ndio attachment zinatakiwa uweze kupata leseni
Au tembelea Tigo-shop/Voda shop/Airtel shop/Halo shop zilizo karibu yako kwa maelekezo lakini lazima uwe na vigezo tajwa hapo juu (uwe na biashara halali yenye vigezo)
Je ukitaka kuwa wakala wa kusajili line je?
 
Je ukitaka kuwa wakala wa kusajili line je?
Hiyo nenda tigo shop /voda shop/halo shop/Airtel shop/ttcl watakupa maelekezo ila nadhani hakuna gharama labda vigezo vyao kama wewe si wakala watakupa utaratibu wakuwa mtu wao kuuza line
 
Hii kazi ni ya Siku moja tena haifikishi hata masaa matatu kwa airtel nenda kwenye airtel shop yao ambayo iko jirani na wewe uhakikishe uwe na tin, leseni ya biashara kitambulisho cha uraia ,barua kutoka serikali ya mtaa na passport size picha moja ukitoka hapo nenda makao makuu ya voda wako bagamoyo road acha documents hizo hapo juu kama hazijagongwa mhuri wa mwanasheria watakutoza 15000 kwa ajili ya huduma hiyo ukimaliza voda pitia haloshop ipo mbele ya vodacome kama unaelekea Victoria/ makumbusho acha detail ukimaliza hapo nenda makumbusho tigo shop watakupa no ya wakala mkuu kulingana na unapofanyia biashara yako ukitoka tigo unaingia ttcl wako pale sayansi kijitonyama ukimaliza hapo unarudi hapa zantel wapo shopez napo unaacha detail nadhan kwa Siku utatumia masaaa 2-matatu na hiyo mitandao 6 nadhan ndio inayofanya huduma ya kutoa pesa hapa nchini? Ila kwa taadhari kuwa na angalau balance ya 70000 unapokua unapeleka hizo document maaana chochote kinaweza kutokea
nashukuru sana mkuu ndio maana naipenda sana JF na vichwa vyake vyenye madini yasiyo kauka
 
Hii kazi ni ya Siku moja tena haifikishi hata masaa matatu kwa airtel nenda kwenye airtel shop yao ambayo iko jirani na wewe uhakikishe uwe na tin, leseni ya biashara kitambulisho cha uraia ,barua kutoka serikali ya mtaa na passport size picha moja ukitoka hapo nenda makao makuu ya voda wako bagamoyo road acha documents hizo hapo juu kama hazijagongwa mhuri wa mwanasheria watakutoza 15000 kwa ajili ya huduma hiyo ukimaliza voda pitia haloshop ipo mbele ya vodacome kama unaelekea Victoria/ makumbusho acha detail ukimaliza hapo nenda makumbusho tigo shop watakupa no ya wakala mkuu kulingana na unapofanyia biashara yako ukitoka tigo unaingia ttcl wako pale sayansi kijitonyama ukimaliza hapo unarudi hapa zantel wapo shopez napo unaacha detail nadhan kwa Siku utatumia masaaa 2-matatu na hiyo mitandao 6 nadhan ndio inayofanya huduma ya kutoa pesa hapa nchini? Ila kwa taadhari kuwa na angalau balance ya 70000 unapokua unapeleka hizo document maaana chochote kinaweza kutokea
asee hv huu mhuri wa m.sheria n kwa ajili ya nn mana mm sielewag kabisa yaan yule mwanasheria anakuwa upande wangu au upande wa mtandao? yan mm sionagi implication ya mhuri kwny zle form
 
asee hv huu mhuri wa m.sheria n kwa ajili ya nn mana mm sielewag kabisa yaan yule mwanasheria anakuwa upande wangu au upande wa mtandao? yan mm sionagi implication ya mhuri kwny zle form
Ile ni mkataba baina ya kampuni ya simu na mwenye laini kwa hiyo lazima hayo makubaliano ya shuhudiwe na mwanasheria lakini pakubwa inalinda kampuni mtandao.
 
Kupata laini za uwakala
1.Uwe na Tin namba
2.Leseni ya biashara
3.Kitambulisho cha uraia (kusajili)
4.Tax clearance
Hizo ndio attachment zinatakiwa uweze kupata leseni
Au tembelea Tigo-shop/Voda shop/Airtel shop/Halo shop zilizo karibu yako kwa maelekezo lakini lazima uwe na vigezo tajwa hapo juu (uwe na biashara halali yenye vigezo)
What if hio mpesa ndio biashara yako ya kwanza kabisa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What if hio mpesa ndio biashara yako ya kwanza kabisa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo na yale yale unaenda tra unawambia unataka kufungua biashara ya uwakala unapewa tax clearance unaenda halmashauri usika unawambia unataka kufungua biashara ya uwakala wanakupa lesen unaenda sehemu husika tigo, voda ,airtel,halotel unawapa document unasubiri lain ukizipata ndio biashara unaanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom