Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
Yes nilikua naulizia kiasi cha pesa cha kuweka kwenye line.. ni kwa mitandao yote hiyo laki tano mkuu au wanatofautiana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Laini ni bure ila ukizifuata unatakiwa kuwa na hela angalau laki tano ili wakuwekee kwenye laini kwa ajili ya kuanza kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app