Msaada: Namna ya kupata line ya Tigo Pesa, M-Pesa na Airtel Money?

Msaada: Namna ya kupata line ya Tigo Pesa, M-Pesa na Airtel Money?

Watu kama nyie ndo mnafanya watu waone hii biashara haina maana,sasa akishafanya hivyo je faida inakua ya kwake au??? Kwenye hii biashara mtaji ndo kila kitu ni mtaji ndo utaamua upate nn mwisho wa mwezi


Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ukiamua kuoga si lazima maji uyavulie nguo? Hizi biashara za ujanja ujanja zinaharibu kabisa namna ya kufanya biashara na watu makini. 😢
 
Back
Top Bottom