Msaada: Namna ya kuripoti uhalifu wa kutumia silaha za moto bila kwenda Polisi

Msaada: Namna ya kuripoti uhalifu wa kutumia silaha za moto bila kwenda Polisi

Ukichunguza maneno alio tumia wakati ana toa taarifa yako ina chembe chembe za chuki fulani na dini fulani, eti kafiiri mujahideena nk, hamna gaidi mjinga kiasi hicho akupigie simu mtu asie muamini, eti alikuambia usilimu kwani una speciality gani akugaganie usilimu, kama mmeshidana kwenye mijadala yenu ya imani husitumie kigezo cha ugaidi kupotosha watu.
 
1. Badili IP isome China.
2. Create email.
3. Tuma email jeshi la Police.

Hakikisha unatoa taarifa ambayo ikisomwa si rahisi ipuuzwe...

Haitawahi kujulikana wewe ndo umetoa taarifa.
 
Wakubalie uvae makubazi wakukabizi na smg ya kuanzia ila mi napenda Ak47 na mkanda wake, ipo siku nitauvaa nipige nayo picha ntaenda ata afaganstani
 
Huyu c mkweli kuna mtu anachuki NAE na kwa taarifa yako polisi wasas bongo wa kitengo cha ugaidi wako makini sana kwa ufatiliaj kwa ishu za ugaidi kama unaamini unachozungumza ni cha kweli mpeleke na ubalozi wa Marekani nako pia wako vizuri kwa kesi za ugaidi nako kama unachuki NAE wala hutobowi kama unauhalisia mpeleke
 
Kama u mkweli kwanini usiende oolisi moja kwa moja ?
 
Na kama unachuki NAE ukienda kumripoti bla ushahidi wa kutosha lazma ukaozee ww
 
Hapa sogea kijitonyama ofisi za usalama ama la ubalozi wa marekani pale Msasani
Bora aende ubalozi wa marekani, taharifa hii kwao ni nyeti vibaya mno na hawacheck na kima, ila hapa kwetu wanaweza wakamsumbua kupita maelezo badala ya kumsaidia
 
Huyu c mkweli kuna mtu anachuki NAE na kwa taarifa yako polisi wasas bongo wa kitengo cha ugaidi wako makini sana kwa ufatiliaj kwa ishu za ugaidi kama unaamini unachozungumza ni cha kweli mpeleke na ubalozi wa Marekani nako pia wako vizuri kwa kesi za ugaidi nako kama unachuki NAE wala hutobowi kama unauhalisia mpeleke
Uchunguzi wa kesi ipi uliwaisimamiwa na ubalozi wa Marekani nchini Tanzania hadi wewe ushike bango lakuwa wapo vizuri ?
 
Ukichunguza maneno alio tumia wakati ana toa taarifa yako ina chembe chembe za chuki fulani na dini fulani, eti kafiiri mujahideena nk, hamna gaidi mjinga kiasi hicho akupigie simu mtu asie muamini, eti alikuambia usilimu kwani una speciality gani akugaganie usilimu, kama mmeshidana kwenye mijadala yenu ya imani husitumie kigezo cha ugaidi kupotosha watu.
Niliweka number yake humu. Vyombo vya ulinzi na usalama vingeweza ku access hizo message, endapo ningedanganya ningewajibishwa pia
 
Wala usiende toa ripot utapoe mwaka 1997 bwana aliyejulikana kwa la Mustafa raiya wa misri alitoa taarifa ugaid wa kwa baroz ya marekan nnchi kenya kwa usalama wa taifa kwenya wakazikalia Taarifa .

Bwa Mustafa akamua kuhamia dar maeneo msasani mikoroshin alikuwa anaishi baada ya makaburi 1998 barozi za marekan Kenya na Tanzania zinalipuliwa na magaidi jiran kabasa ubarozi wa Ufaransa watu kadhaa wanapoteza maisha pamoja na raia marekan.yule bwana Mustafa alitafuta kwa udi na uvumba na kukatwa FBI wakatua Kama wote .
Kimbilia kwenye masiliano ya wakajua Kama marekan kila sim inayopigwa marekan Kuna sikio la.fbi hawakufanikiwa walichoambulia ni kuweka kiziwin osbay na ukonga na badae kurudishwa kwao alisota Zaid ya miaka 3

Kwa ndugu achana hizo enndelea kunywa tasi huko bagamoyo ujingiza utata bure
 
Back
Top Bottom