Hata informer ?Kibongo bongo lazima ushikiliwe miezi 6 ukiwa shahidi. Afadhali huko ubalozini wa Marekani
Utachunguza kwanza weweHata informer ?
Uelewa wako una changamotoKama u mkweli kwanini usiende oolisi moja kwa moja ?
Bora aende ubalozi wa marekani, taharifa hii kwao ni nyeti vibaya mno na hawacheck na kima, ila hapa kwetu wanaweza wakamsumbua kupita maelezo badala ya kumsaidiaHapa sogea kijitonyama ofisi za usalama ama la ubalozi wa marekani pale Msasani
Uchunguzi wa kesi ipi uliwaisimamiwa na ubalozi wa Marekani nchini Tanzania hadi wewe ushike bango lakuwa wapo vizuri ?Huyu c mkweli kuna mtu anachuki NAE na kwa taarifa yako polisi wasas bongo wa kitengo cha ugaidi wako makini sana kwa ufatiliaj kwa ishu za ugaidi kama unaamini unachozungumza ni cha kweli mpeleke na ubalozi wa Marekani nako pia wako vizuri kwa kesi za ugaidi nako kama unachuki NAE wala hutobowi kama unauhalisia mpeleke
Niliweka number yake humu. Vyombo vya ulinzi na usalama vingeweza ku access hizo message, endapo ningedanganya ningewajibishwa piaUkichunguza maneno alio tumia wakati ana toa taarifa yako ina chembe chembe za chuki fulani na dini fulani, eti kafiiri mujahideena nk, hamna gaidi mjinga kiasi hicho akupigie simu mtu asie muamini, eti alikuambia usilimu kwani una speciality gani akugaganie usilimu, kama mmeshidana kwenye mijadala yenu ya imani husitumie kigezo cha ugaidi kupotosha watu.
Jibu hoja zangu. Changamoto zangu wewe zinakuuma vipi?Uelewa wako una changamoto