MCHUMIPESA
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,088
- 259
Makamanda unajua imetokea gafla xana na economically niko hoi!,posa siwez toa kwa sasa maana nafukuzia kazi na bado cjajipanga fresh ki life na yeye ndo kamaliza chuo kikuu.Pia heshima kwao yan kwa mama mkwe itatoweka,je cha zaidi nifanyeje ili japo nifunge harusi hata ya ki magubegube ili nilipangue hili balaa zaidi ya kutoa mimba?Unajua hata mim inaniuma kumtolea mimba maana hata mie umri unakwenda sasa nifanyeje?
kaka kila mtoto huja na rizki yake, mimi naona hutakiwi kufikiria suala la dhambi ya kuua kiumbe hicho kwa kutoa mimba hiyo...kumbuka wengine hapa tunatafuta watoto na bado hatujajaaliwa, sasa wewe ukitoa mimba hiyo ni kufuru kwa Mungu wako.
Duh....makubwa haya! Weye ndiye uliyemtia hiyo mimba?
bINTI WAgeti kali yuko ana ujauzito wa miezi mitatu anahaha anataka nimsaidie kuchomoa mimba ya mitatu,,, maana ana mchumba wake yuko Abu dhabi na amekaribia kurudi nchini sasa anahisi ndoa ndo hivyooooooooooooo tena kitanuka,,,,, anasema hela sio shida kwake yuko radhi kwa bei yoyote i mradi mimba itoke,,,,,,, wadau mi siwezi kabisa
ALIYETAYARI NIMSUKUMIE MZIGO EMAIL ME VIA joykwetu@yahoo.com Fasta maana anataka kesho au kesho kutwa tu iwe imechomolewa ,,,,,,,,,,,,,,,,,,TANX
tAJA NA bEI KABISA.............................
Kwa mujibu wa hii email hapo juu mhusika mkuu ni huyu hapa Annalise Diclofenac | Facebook