mpungara
Member
- Nov 16, 2011
- 75
- 17
nimesikitishwa sana na thread yako.na si kweli kuwa unampenda huyo demu wako.kwanza elewa kuwa kutoa mimba ni uuaji.bila kujali kama hiyo mimba ni ya nusu saa,au ya wiki mbili au ya miezi tisa.huo ni uuaji.na sababu uliitoa ya kutaka kutoa hiyo mimba si ya msingi.hebu fikilia kama je wakti wa process ya kuitoa hiyo mimba ikatokea akafariki.je utasikitika?au je utafurahia?KAMA KWELI UNAMPENDA NA KAMA KWELI ITATHIBITIKA KUWA ANA MIMBA.MIMI NAKUSHAURI USIWE NA MAWAZO YA KUITOA HIYO MIMBA.bwana mambo ya siku hizi inawezekana ana yai hilo hilo moja tu na akiitoa hiyo mimba hapati tena mtoto ktk maisha yake.