Msaada: Nani amemuiga nani hapa?

Wote wa kawaida tuu ila mmoja kavaa gagulo oversize mwingine gagulo limenfit vizuri.
 
Samahan lakin kwa ntakao wakera, huyo rubi (mwenye nyekundu, hata kama si rubi) ni mbaya kwa kweli, yaani ni mbaya jumla jumla.

Samahan lakini kwa yeyote atakaye jiskia vibaya kwa kweli nimeshindwa kujizuia nisiseme
Usingesema ungeumwa vidonda vya tumbo bora umetoa ya moyoni
 
Huyo Rubi nilikuwa namchukulia kawaida NA kamwili chake.....siku nilipomuona anacheza singeli aiseee!!! Japo kembamba ila kanajua kukatika NA huo ndio ugonjwa wangu
 
Huyo tunda amekaa Kwenye hizo chekecheke ili aj*mbe?
 
Bahati nzuri huwa sichangiagi mada za kishenzi shenzi kama hizi... Samahani kama ntakua nimepotea jukwaa...
 
aiseee Akanana Ruby anavyo pondwa daa hatari sana,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…