Msaada; Naomba kueleweshwa kwanini fomu za kuwania Uspika zinatolewa na CCM badala ya Bunge?

Msaada; Naomba kueleweshwa kwanini fomu za kuwania Uspika zinatolewa na CCM badala ya Bunge?

viking

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,183
Reaction score
1,322
Mpaka dakika hii mwenzenu sielewi dhana ya form za kugombea nafasi ya uspika kutolewa kwenye ofisi ya CCM.

Mimi dhana yangu ni kwamba ukishakuwa mbunge wa chama fulani nafasi yeyote ile ya uongozi ikitokea bungeni ni suala la kumuona katibu wa bunge na kuchukua form na kugombea.

Misingi ya kuchukulia hii form kwenye ofisi ya CCM ni ipi. Je mgombea anatakiwa ajaze form ngapi form ngapi.

NANI atazipitia form za CCM na kuziona kama zina makosa? Katibu wa bunge ni mtu muhimu sana inapotokea uchaguzi wa viongozi wa bunge kama spika na naibu spika.

Matokeo yake kunatokea mchanganyiko kama huu tunaouona wa naibu spika kugombea uspika kabla ya kujiuzulu Unaibu Spika.
 
piga cocktail ya mnazi, dengelua, boha, komoni, mbege kidooogo, weka Jack D kwa mbali, John walker kidogo, barafu, na soda water kidogo..UJINGA UTAISHA FASTER.... (utani)..

nafikiri hao wanachukua form kuomba ridhaa ya chama then chama kinatoa mtu mmoja, au ofisi ya Bunge imetoa form kwa kila chama wanachama wachukulie huko then game inapigwa dom......
 
piga cocktail ya mnazi, dengelua, boha, komoni, mbege kidooogo, weka Jack D kwa mbali, John walker kidogo, barafu, na soda water kidogo..UJINGA UTAISHA FASTER.... (utani)..

nafikiri hao wanachukua form kuomba ridhaa ya chama then chama kinatoa mtu mmoja, au ofisi ya Bunge imetoa form kwa kila chama wanachama wachukulie huko then game inapigwa dom......
uko sahihi
 
Hata Kuna chama Cha upinzani kule Zanzibar naona Kuna mwanamke mmoja amejitokeza kuchukua form na amechukulia kwenye chama chake. Nadhani ndio utaratibu kwamba watagombea na kupitishwa na chama then jina linalopita ndio linapelekwa bungeni kushindanidha na wengine wa vyama vingine ambao wamepitishwa pia.
 
Ilipaswa kuwa hivyo, tuna utaratibu mbaya kabisa
 
Hatua hii wanataka kuteuliwa na ccm atakayeteuliwa ataungana na wengine mfano wa kutoka ccm b kwenda ofisi ya katibu wa bunge kuomba fomu za kugombea
 
Mpaka dakika hii mwenzenu sielewi dhana ya form za kugombea nafasi ya uspika kutolewa kwenye ofisi ya CCM.

Mimi dhana yangu ni kwamba ukisha kuwa mbunge wa chama fulani nafasi yeyote ile ya uongozi ikitokea bungeni ni suala la kumuona katibu wa bunge na kuchukua form na kugombea.

Misingi ya kuchukulia hii form kwenye ofisi ya CCM ni ipi . Je mgombea anatakiwa ajaze form ngapi form ngapi. .

NANI atazipitia form za CCM na kuziona kama zina makosa ? Katibu wa bunge ni mtu muhimu sana inapotokea uchaguzi wa viongozi wa bunge kama spika na naibu spika .

Matokeo yake kunatokea mchanganyiko kama huu tunao uona wa naibu spika kugombea uspika kabla ya kujiuzulu Unaibu Spika
1. Japo katiba ilitoa haki kwa kila Mtanzania kugombea uongozi wowote toka serikali ya mtaa hadj serikali kuu, haki hiyo imeporwa.
2. Ili kugombea nafasi yoyote ya kisiasa ni lazima udhaminiwe na chama cha siasa.
3. Hizi pilika zote za kugombea usipika unazosikia, fomu zikitolewa CCM, sio fomu za kugombea usipika, ni fomu za kuomba udhamini wa CCM kugombea usipika.
4. Kila chama kiko huru kuweka utaratibu wake, na kitamdhamini mgombea mmoja tuu wa nafasi ya spika.
5.Fomu rasmi za kugombea usipika zitatolewa na Bunge Februari 1.
6. Ukweli wa siasa zetu, mgombea wa CCM ndiye spika ajaye.
7. Vyama serious vya upinzani hawatasimamisha mgombea kwenye uspika kwasababu wanajua ukweli, mgombea wa CCM ndie spika, hivyo they don't have time to waste and ressources to compete na mgombea wa CCM.
Swali ni jee CCM itatuletea Spika Bora au Bora Spika, kama kawa?.
P
 
1. Japo katiba ilitoa haki kwa kila Mtanzania kugombea uongozi wowote toka serikali ya mtaa hadj serikali kuu, haki hiyo imeporwa.
2. Ili kugombea nafasi yoyote ya kisiasa ni lazima udhaminiwe na chama cha siasa.
3. Hizi pilika zote za kugombea usipika unazosikia, fomu zikitolewa CCM, sio fomu za kugombea usipika, ni fomu za kuomba udhamini wa CCM kugombea usipika.
4. Kila chama kiko huru kuweka utaratibu wake, na kitamdhamini mgombea mmoja tuu wa nafasi ya spika.
5.Fomu rasmi za kugombea usipika zitatolewa na Bunge Februari 1.
6. Ukweli wa siasa zetu, mgombea wa CCM ndiye spika ajaye.
7. Vyama serious vya upinzani hawatasimamisha mgombea kwenye uspika kwasababu wanajua ukweli, mgombea wa CCM ndie spika, hivyo they don't have time to waste and ressources to compete na mgombea wa CCM.
Swali ni jee CCM itatuletea Spika Bora au Bora Spika, kama kawa?.
P
Nilikuelewa uliposema “haki imeporwa” japo hujasema nani kapora. Lakini nimeshindwa kukuelewa uliposema “vyama serious vya upinzani hawatasimamisha mgombea kwa sababu wanaujua ukweli…” Je na wewe unafurahia haki hiyo kuporwa kiasi cha kuhitimisha hivyo! Nilidhani ungevitia moyo vyama hivyo “serious” kusimamisha mgombea kama vinavyofanya kwenye uchaguzi mkuu au changuzi ndogo licha ya kuwa wakati mwingine vinajua fika huwenda mgombea wao hatoshinda!
 
Mpaka dakika hii mwenzenu sielewi dhana ya form za kugombea nafasi ya uspika kutolewa kwenye ofisi ya CCM.

Mimi dhana yangu ni kwamba ukisha kuwa mbunge wa chama fulani nafasi yeyote ile ya uongozi ikitokea bungeni ni suala la kumuona katibu wa bunge na kuchukua form na kugombea.

Misingi ya kuchukulia hii form kwenye ofisi ya CCM ni ipi . Je mgombea anatakiwa ajaze form ngapi form ngapi. .

NANI atazipitia form za CCM na kuziona kama zina makosa ? Katibu wa bunge ni mtu muhimu sana inapotokea uchaguzi wa viongozi wa bunge kama spika na naibu spika .

Matokeo yake kunatokea mchanganyiko kama huu tunao uona wa naibu spika kugombea uspika kabla ya kujiuzulu Unaibu Spika
Ili tuwe na mihimili strong watu wote wenye vyama, na wasio na vyama wachukue form kutoka ofisi ya bunge,

Hii ya kuchukua fomu kutoka kwenye vyama ni Ili spika ateuliwe na mwenyekiti wao ambaye ni raisi
 
1. Japo katiba ilitoa haki kwa kila Mtanzania kugombea uongozi wowote toka serikali ya mtaa hadj serikali kuu, haki hiyo imeporwa.
2. Ili kugombea nafasi yoyote ya kisiasa ni lazima udhaminiwe na chama cha siasa.
3. Hizi pilika zote za kugombea usipika unazosikia, fomu zikitolewa CCM, sio fomu za kugombea usipika, ni fomu za kuomba udhamini wa CCM kugombea usipika.
4. Kila chama kiko huru kuweka utaratibu wake, na kitamdhamini mgombea mmoja tuu wa nafasi ya spika.
5.Fomu rasmi za kugombea usipika zitatolewa na Bunge Februari 1.
6. Ukweli wa siasa zetu, mgombea wa CCM ndiye spika ajaye.
7. Vyama serious vya upinzani hawatasimamisha mgombea kwenye uspika kwasababu wanajua ukweli, mgombea wa CCM ndie spika, hivyo they don't have time to waste and ressources to compete na mgombea wa CCM.
Swali ni jee CCM itatuletea Spika Bora au Bora Spika, kama kawa?.
P
Naomba ufafanuzi hapo kwenye neno ..... KAMA KAWA
 
Mpaka dakika hii mwenzenu sielewi dhana ya form za kugombea nafasi ya uspika kutolewa kwenye ofisi ya CCM.

Mimi dhana yangu ni kwamba ukisha kuwa mbunge wa chama fulani nafasi yeyote ile ya uongozi ikitokea bungeni ni suala la kumuona katibu wa bunge na kuchukua form na kugombea.

Misingi ya kuchukulia hii form kwenye ofisi ya CCM ni ipi . Je mgombea anatakiwa ajaze form ngapi form ngapi. .

NANI atazipitia form za CCM na kuziona kama zina makosa ? Katibu wa bunge ni mtu muhimu sana inapotokea uchaguzi wa viongozi wa bunge kama spika na naibu spika .

Matokeo yake kunatokea mchanganyiko kama huu tunao uona wa naibu spika kugombea uspika kabla ya kujiuzulu Unaibu Spika
Huu ni mchakato wa ndani wa chama bwana Bashite
 
1. Japo katiba ilitoa haki kwa kila Mtanzania kugombea uongozi wowote toka serikali ya mtaa hadj serikali kuu, haki hiyo imeporwa.
2. Ili kugombea nafasi yoyote ya kisiasa ni lazima udhaminiwe na chama cha siasa.
3. Hizi pilika zote za kugombea usipika unazosikia, fomu zikitolewa CCM, sio fomu za kugombea usipika, ni fomu za kuomba udhamini wa CCM kugombea usipika.
4. Kila chama kiko huru kuweka utaratibu wake, na kitamdhamini mgombea mmoja tuu wa nafasi ya spika.
5.Fomu rasmi za kugombea usipika zitatolewa na Bunge Februari 1.
6. Ukweli wa siasa zetu, mgombea wa CCM ndiye spika ajaye.
7. Vyama serious vya upinzani hawatasimamisha mgombea kwenye uspika kwasababu wanajua ukweli, mgombea wa CCM ndie spika, hivyo they don't have time to waste and ressources to compete na mgombea wa CCM.
Swali ni jee CCM itatuletea Spika Bora au Bora Spika, kama kawa?.
P
Sawa p
 
Yule profesor mwenye degrew 9 naye alichukua fomu CCM wakati ni mtumishi wa umma?au ameshastaafu?
 
Back
Top Bottom