Msaada; Naomba kueleweshwa kwanini fomu za kuwania Uspika zinatolewa na CCM badala ya Bunge?

Msaada; Naomba kueleweshwa kwanini fomu za kuwania Uspika zinatolewa na CCM badala ya Bunge?

Mpaka dakika hii mwenzenu sielewi dhana ya form za kugombea nafasi ya uspika kutolewa kwenye ofisi ya CCM.

Mimi dhana yangu ni kwamba ukisha kuwa mbunge wa chama fulani nafasi yeyote ile ya uongozi ikitokea bungeni ni suala la kumuona katibu wa bunge na kuchukua form na kugombea.

Misingi ya kuchukulia hii form kwenye ofisi ya CCM ni ipi . Je mgombea anatakiwa ajaze form ngapi form ngapi. .

NANI atazipitia form za CCM na kuziona kama zina makosa ? Katibu wa bunge ni mtu muhimu sana inapotokea uchaguzi wa viongozi wa bunge kama spika na naibu spika .

Matokeo yake kunatokea mchanganyiko kama huu tunao uona wa naibu spika kugombea uspika kabla ya kujiuzulu Unaibu Spikam
Kwa mujibu wa Katiba chama chenye wabunge wengi bungeni ndio hutoka Spika., KWA SASA ELEWA HAPO.
 
Sawa mkuu, kwako wewe yupi na yupi unaona tunaweza pata spika bora.
Shukrani.
Kwenye hiyo list ya CCM, the best of the best ni just one and only
P
 
1. Japo katiba ilitoa haki kwa kila Mtanzania kugombea uongozi wowote toka serikali ya mtaa hadj serikali kuu, haki hiyo imeporwa.
2. Ili kugombea nafasi yoyote ya kisiasa ni lazima udhaminiwe na chama cha siasa.
3. Hizi pilika zote za kugombea usipika unazosikia, fomu zikitolewa CCM, sio fomu za kugombea usipika, ni fomu za kuomba udhamini wa CCM kugombea usipika.
4. Kila chama kiko huru kuweka utaratibu wake, na kitamdhamini mgombea mmoja tuu wa nafasi ya spika.
5.Fomu rasmi za kugombea usipika zitatolewa na Bunge Februari 1.
6. Ukweli wa siasa zetu, mgombea wa CCM ndiye spika ajaye.
7. Vyama serious vya upinzani hawatasimamisha mgombea kwenye uspika kwasababu wanajua ukweli, mgombea wa CCM ndie spika, hivyo they don't have time to waste and ressources to compete na mgombea wa CCM.
Swali ni jee CCM itatuletea Spika Bora au Bora Spika, kama kawa?.
P

5B84C575-BF58-4E8F-9417-5A3760E14D1B.jpeg
 
Juwa tu si lazima kuwa mbunge kugombea usipika, sifa kwa sasa ni mwanachama! Hivyo chama ndicho kitapeleka jina la mgombea wake kwa katibu wa bunge!
 
Nilikuelewa uliposema “haki imeporwa” japo hujasema nani kapora. Lakini nimeshindwa kukuelewa uliposema “vyama serious vya upinzani hawatasimamisha mgombea kwa sababu wanaujua ukweli…” Je na wewe unafurahia haki hiyo kuporwa kiasi cha kuhitimisha hivyo! Nilidhani ungevitia moyo vyama hivyo “serious” kusimamisha mgombea kama vinavyofanya kwenye uchaguzi mkuu au changuzi ndogo licha ya kuwa wakati mwingine vinajua fika huwenda mgombea wao hatoshinda!
Hakuna sababu ya kuvitia moyo vyama serious vya upinzani kufanya jambo ambalo kwa asilimia 100 wanajua hawawezi kupata. Itakuwa ni kupoteza muda na fedha ambazo zingeweza kufanya mambo mengine yenye faida pia kwa chama
 
Mpaka dakika hii mwenzenu sielewi dhana ya form za kugombea nafasi ya uspika kutolewa kwenye ofisi ya CCM.

Mimi dhana yangu ni kwamba ukisha kuwa mbunge wa chama fulani nafasi yeyote ile ya uongozi ikitokea bungeni ni suala la kumuona katibu wa bunge na kuchukua form na kugombea.

Misingi ya kuchukulia hii form kwenye ofisi ya CCM ni ipi . Je mgombea anatakiwa ajaze form ngapi form ngapi. .

NANI atazipitia form za CCM na kuziona kama zina makosa ? Katibu wa bunge ni mtu muhimu sana inapotokea uchaguzi wa viongozi wa bunge kama spika na naibu spika .

Matokeo yake kunatokea mchanganyiko kama huu tunao uona wa naibu spika kugombea uspika kabla ya kujiuzulu Unaibu Spika
Hapo hawaombi uspika, wqnaomba CCM ipendekeze wawe Spika. CHADEMA nao wana utaratibu wao aliotumia Mnyika kwa Vitimaalum 19 kosa lake akasahau washikaji wa Lissu, Nyalandu, na Mbowe.
 
Ni kawaida CCM kutupatia Bora Spika, JYN alikuwa Bora Spika, akiingia Tulia ni Bora Spika. Kwenye list ile kuna fursa ya kumpata Spika Bora !.
P
Umeitaja awamu moja tu na kujumuisha awamu nyingine kuwa zilikuwa na BORA SPIKA... Lakini nyie hao hao maspika wakiwa madarakani huwa mnawasifia. Lakini, pindi wakitoka tu madarakani ndo mnaanza kuona mapungufu ambayo wengine walikuwa wanayasema wakati maspika husika wakiwa madarakani.. AU HUWA MNAOGOPA KUITWA KAMA ULIVYOITWA KAKA PASKALI?

Na wimbi la kumsema aliyetoka madarakani halijaishia kwa hao uliowataja pekee.. Ona nyakati hizi watu wanavyoponda awamu ya tano hasa kumponda mtu mmoja tu... Hata wale waliokuwa wanamsifia siku hizi ni kumponda kwa kwenda mbele
 
1. Japo katiba ilitoa haki kwa kila Mtanzania kugombea uongozi wowote toka serikali ya mtaa hadj serikali kuu, haki hiyo imeporwa.
2. Ili kugombea nafasi yoyote ya kisiasa ni lazima udhaminiwe na chama cha siasa.
3. Hizi pilika zote za kugombea usipika unazosikia, fomu zikitolewa CCM, sio fomu za kugombea usipika, ni fomu za kuomba #7udhamini wa CCM kugombea usipika.
4. Kila chama kiko huru kuweka utaratibu wake, na kitamdhamini mgombea mmoja tuu wa nafasi ya spika.
5.Fomu rasmi za kugombea usipika zitatolewa na Bunge Februari 1.
6. Ukweli wa siasa zetu, mgombea wa CCM ndiye spika ajaye.
7. Vyama serious vya upinzani hawatasimamisha mgombea kwenye uspika kwasababu wanajua ukweli, mgombea wa CCM ndie spika, hivyo they don't have time to waste and ressources to compete na mgombea wa CCM.
Swali ni jee CCM itatuletea Spika Bora au Bora Spika, kama kawa?.
P
Hoja #7 umemaanisha ni must au?
Kama ni must je, ni kwasababu ya uwingi wa wabunge wa CCM bungeni, vyombo vya Dola au ni kwasababu ya katiba kwamba inaipa CCM favor yote?
 
mambo mengine unauliza tu ndugu zako kazini badala ya kujaza seva. mbona huulizi kwa wagombea ubunge au urais
 
Umeitaja awamu moja tu na kujumuisha awamu nyingine kuwa zilikuwa na BORA SPIKA... Lakini nyie hao hao maspika wakiwa madarakani huwa mnawasifia. Lakini, pindi wakitoka tu madarakani ndo mnaanza kuona mapungufu ambayo wengine walikuwa wanayasema wakati maspika husika wakiwa madarakani..
Mimi nilianza ku comment kumhusu Bora Spika tangu akiwa Naibu Spika

Bora Spika alipochukua fomu kuomba uspika pia nilimandika
P
 
Hoja #7 umemaanisha ni must au?
Kama ni must je, ni kwasababu ya uwingi wa wabunge wa CCM bungeni, vyombo vya Dola au ni kwasababu ya katiba kwamba inaipa CCM favor yote?
Huu ndio ukweli wa the political dynamics ya siasa zetu, CCM ni chama dola.
P
 
Huu ndio ukweli wa the political dynamics ya siasa zetu, CCM ni chama dola.
P
Nimekuelewa
 
Mpaka dakika hii mwenzenu sielewi dhana ya form za kugombea nafasi ya uspika kutolewa kwenye ofisi ya CCM.

Mimi dhana yangu ni kwamba ukisha kuwa mbunge wa chama fulani nafasi yeyote ile ya uongozi ikitokea bungeni ni suala la kumuona katibu wa bunge na kuchukua form na kugombea.

Misingi ya kuchukulia hii form kwenye ofisi ya CCM ni ipi . Je mgombea anatakiwa ajaze form ngapi form ngapi. .

NANI atazipitia form za CCM na kuziona kama zina makosa ? Katibu wa bunge ni mtu muhimu sana inapotokea uchaguzi wa viongozi wa bunge kama spika na naibu spika .

Matokeo yake kunatokea mchanganyiko kama huu tunao uona wa naibu spika kugombea uspika kabla ya kujiuzulu Unaibu Spik
 
Kila chama kinapeleka bungeni mgombea mmoja.Lakini ukweli ni kwamba ukipitishwa na ccm utakuwa spika maana wapiga kura ni wabunge was ccm
 
Ni yale yale,,,, sisiemu ndio itatoa spika ni kama vile tunavoamini kuwa mgombea wa ccm ndio atakuwa Rais ajaye wa jamuhuri ya muungano.
 
Si tuliambiwaga unachia kwanza ili uombe huku kwenye siasa.zamani walikiwaga wakwenda likizo za bila malipo.That is it.
 
1. Japo katiba ilitoa haki kwa kila Mtanzania kugombea uongozi wowote toka serikali ya mtaa hadj serikali kuu, haki hiyo imeporwa.
2. Ili kugombea nafasi yoyote ya kisiasa ni lazima udhaminiwe na chama cha siasa.
3. Hizi pilika zote za kugombea usipika unazosikia, fomu zikitolewa CCM, sio fomu za kugombea usipika, ni fomu za kuomba udhamini wa CCM kugombea usipika.
4. Kila chama kiko huru kuweka utaratibu wake, na kitamdhamini mgombea mmoja tuu wa nafasi ya spika.
5.Fomu rasmi za kugombea usipika zitatolewa na Bunge Februari 1.
6. Ukweli wa siasa zetu, mgombea wa CCM ndiye spika ajaye.
7. Vyama serious vya upinzani hawatasimamisha mgombea kwenye uspika kwasababu wanajua ukweli, mgombea wa CCM ndie spika, hivyo they don't have time to waste and ressources to compete na mgombea wa CCM.
Swali ni jee CCM itatuletea Spika Bora au Bora Spika, kama kawa?.
P
Pascal Mayalla leo umenifurahisha
 
Back
Top Bottom