Msaada: Naomba kujua kuhusu course ya Bachelor of Science in Biology’ kuanzia kwenye usomaji hadi kupata kazi

Msaada: Naomba kujua kuhusu course ya Bachelor of Science in Biology’ kuanzia kwenye usomaji hadi kupata kazi

Sasa Kama mtu anasoma Bsc In Biology Miaka mitatu ili lengo aje asome Afya mfano MD 5yrs, Au Nursing 4yrs kwanini asisome Diploma yoyote ya Afya sahv!!



Aseeh kichekesho Sasa unaweza kamata Mwanafunzi wa Mwaka was kwanza hiyo Programme ukamuhoji Field unafanyia wapi anakwambia hata sijui tunafanyia wapi!! Kama hataweza kuhamia Chemistry nashauri tu akamate Diploma yoyote ya Afya hapohapo UDOM!! Hatajuta!!!
Kiongozi nataka nikuhulize swali kwhyo hakiamia diploma udom utaratibu upoje wa kuama kwend diploma in medical laboratory alf vipi boom anachana nalo maana kapata au inakuwaje
 
Mwenye kujua jinsi ya kuama bachelor to diploma Udom anipe utaratibu tafadhari
 
Utasikia

"Mimi diploma siwezi kusoma"
"siwezi Acha boom nikasome diploma"
"Wenzangu wanasoma ngazi ya digiriii Mimi diploma hapana Bora nibakie nyumbani mwaka mzima"

na mengineyo kama hayo

Halafu mizinga kwa ndugu haiishi, shenzi sana
 
Back
Top Bottom