buzitata
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 2,007
- 7,126
Mtu akikabwa wanaume wa dar muende kumuokoa mwenzenu sio mnaangalia tu na masmart phone yenuKwani we unatakaje ss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu akikabwa wanaume wa dar muende kumuokoa mwenzenu sio mnaangalia tu na masmart phone yenuKwani we unatakaje ss
[emoji115] [emoji115] [emoji116] [emoji116][emoji1] [emoji1] [emoji1]Pusha up asubuhi piga 50 jioni 50 hapa unatanua kifua na kujaza mikono kumbuka kukata tumbo
Kwanini sio 51 au 49?
Acha uvivu.. Auwezi anza na pushap 50 moja kwa moja, anza kupiga pushap 5 then unapunzika kama sekunde 10 hivi, alafu unanza tena fanya hiv kwa round sita unakua umepiga pushap 30. After week unaweza ukaongeza round badala ya round sita unaenda nane.. Hivyo hivyo mpaka unaweza timiza 50Pushap 50 unazijui au unaziskia tu?
Hiyo si level ya ukomando kabisa unataka kuua watu wewePush up unapiga set 10 ambapo set ya kwanza unapga 50 ya pili 60 ya tatu 70 ya nne 80 ya tano 90 ya sita 100 kisha ya saba unashuka unapiga 90 ya nane 80 ya tisa 70 ya kumi 60
Hizo mi napga kwa mkono mmojaAcha uvivu.. Auwezi anza na pushap 50 moja kwa moja, anza kupiga pushap 5 then unapunzika kama sekunde 10 hivi, alafu unanza tena fanya hiv kwa round sita unakua umepiga pushap 30. After week unaweza ukaongeza round badala ya round sita unaenda nane.. Hivyo hivyo mpaka unaweza timiza 50
Daah! Eshima yako mkuu wengine ni mtiani huo, mkuu nataka nijaze mguu walau nitambe na pensi mtani ni mazoezi ya haina ipi nifanye..?Hizo mi napga kwa mkono mmoja
Njoo pm ntakuelekeza zoez la squat utakata mguu ndani ya wk moja ila uwe mvumilivu wa kuyavumilia maumivuDaah! Eshima yako mkuu wengine ni mtiani huo, mkuu nataka nijaze mguu walau nitambe na pensi mtani ni mazoezi ya haina ipi nifanye..?
Nchek nlivyokuelekeza pm nkiandika hapa hutaelewaDaah! Eshima yako mkuu wengine ni mtiani huo, mkuu nataka nijaze mguu walau nitambe na pensi mtani ni mazoezi ya haina ipi nifanye..?
Njoo pm ntakuelekeza zoez la squat utakata mguu ndani ya wk moja ila uwe mvumilivu wa kuyavumilia maumivu
Hizo ni moja wapo anza na hizo, ukiweza nitafute nikupe nyingine.Mazoezi yapi yanaweza kubadili mwonekano WA umbo lako hasa kwenye kifua,tumbo na mikono.
Bila kwenda gym maana nipo mbali na mji........
Atakuwa mwanume wa dar uyo au minyama uzembeMbona kidogo sana hizi? Watu tunaenda 200 set 4, 50*4.
Acha kumtisha 50 ni kiwango kidogo sana.Pushap 50 unazijui au unaziskia tu?
Bonyeza username yangu, halafu cheki threads nilizowahi kuzianzisha. Naamini zitakusaidiaMazoezi yapi yanaweza kubadili mwonekano WA umbo lako hasa kwenye kifua,tumbo na mikono.
Bila kwenda gym maana nipo mbali na mji........
[emoji23][emoji23][emoji23]Mtu akikabwa wanaume wa dar muende kumuokoa mwenzenu sio mnaangalia tu na masmart phone yenu
Mimi napiga tano tu sawa na izo zako 200Mbona kidogo sana hizi? Watu tunaenda 200 set 4, 50*4.
HakikaDuh hongera zako kiongozi
Ila nyinyi watu wa mazoez mnakera sehem moja tu yaani sionagi faida yenu hata kidogo coz mnaweza kumuona mtu kavamiwa na mateja(anakabwa) halaf chakushangaza bila mshipa wa aibu hamuendi kutoa msaada
Kama vipi ni bora muaache tu coz hayo mapushap yenu hayana msaada kwa jamii