Msaada: Naomba kujulishwa Mazoezi gani mazuri bila kuenda Gym

Msaada: Naomba kujulishwa Mazoezi gani mazuri bila kuenda Gym

Pushap 50 unazijui au unaziskia tu?
Acha uvivu.. Auwezi anza na pushap 50 moja kwa moja, anza kupiga pushap 5 then unapunzika kama sekunde 10 hivi, alafu unanza tena fanya hiv kwa round sita unakua umepiga pushap 30. After week unaweza ukaongeza round badala ya round sita unaenda nane.. Hivyo hivyo mpaka unaweza timiza 50
 
Acha uvivu.. Auwezi anza na pushap 50 moja kwa moja, anza kupiga pushap 5 then unapunzika kama sekunde 10 hivi, alafu unanza tena fanya hiv kwa round sita unakua umepiga pushap 30. After week unaweza ukaongeza round badala ya round sita unaenda nane.. Hivyo hivyo mpaka unaweza timiza 50
Hizo mi napga kwa mkono mmoja
 
Unataka kujaza paja au ugoko?,
Kuongeza Misul na ukubwa wa Paja sio tatizo, Ila Kama una ugoko Kama mirija ya Juice Hakuna Mazoezi ya kuongeza wee vaa misuli na Vikoi ukichoka suruali
 
Mazoezi yapi yanaweza kubadili mwonekano WA umbo lako hasa kwenye kifua,tumbo na mikono.

Bila kwenda gym maana nipo mbali na mji........
Hizo ni moja wapo anza na hizo, ukiweza nitafute nikupe nyingine.
....
Hapo hakuna gender is just gif images.
 

Attachments

  • Full Sit up Crunch.gif
    Full Sit up Crunch.gif
    106.2 KB · Views: 80
  • Abdominal-V-Crunch.gif
    Abdominal-V-Crunch.gif
    144.1 KB · Views: 70
  • Vertical-Leg-Crunch.gif
    Vertical-Leg-Crunch.gif
    88.8 KB · Views: 195
Mazoezi yapi yanaweza kubadili mwonekano WA umbo lako hasa kwenye kifua,tumbo na mikono.

Bila kwenda gym maana nipo mbali na mji........
Bonyeza username yangu, halafu cheki threads nilizowahi kuzianzisha. Naamini zitakusaidia
 
Nadhani kutembea ni mazoezi bora tunayoweza kufanya bila kwenda kwenye kituo cha mazoezi ya mwili
 
Duh hongera zako kiongozi

Ila nyinyi watu wa mazoez mnakera sehem moja tu yaani sionagi faida yenu hata kidogo coz mnaweza kumuona mtu kavamiwa na mateja(anakabwa) halaf chakushangaza bila mshipa wa aibu hamuendi kutoa msaada

Kama vipi ni bora muaache tu coz hayo mapushap yenu hayana msaada kwa jamii
Hakika
 
Back
Top Bottom