Msaada: Naomba kupewa gharama za hatua hizi za ujenzi

Msaada: Naomba kupewa gharama za hatua hizi za ujenzi

Kiwanja miguu 26*27 kwa fensi fundi anaweza chaji bei gani, wataalam msaada kwenye hili, PRONDO pita huku
 
Mimi niliweka Mchina grade one, 50*50 mwaka wa pili huu zipo vile vile.
Prondo Kiwanja miguu 26*27 kwa fensi, fundi anaweza chaji bei gani, bila kupiga plasta ni atachorea tu zile tofali na kuweka mkanda juu, wataalam wengine msaada kwenye hili, Prondo pita hapa boss
 
Prondo Kiwanja miguu 26*27 kwa fensi, fundi anaweza chaji bei gani, bila kupiga plasta ni atachorea tu zile tofali na kuweka mkanda juu, wataalam wengine msaada kwenye hili, Prondo pita hapa boss
Hapo mlipe kwa tofali(kujenga tofali moja 300-400), mkanda mtakubaliana.
 
Kaniambia ni tofali 4116? So nipige mara 300 sio, je msingi nitakadiriaje?
Fence pasua kichwa kweli. Hapo ina maana kwa tofali ni kama 1.2m negotiate nae isizidi 1m. Usimtajie hesabu ya tofali. In case akitoa quotation kuzidi 1.2m mpe bei elekezi Kwa tofali.
Msingi kama ukuta tu.
 
Fence pasua kichwa kweli. Hapo ina maana kwa tofali ni kama 1.2m negotiate nae isizidi 1m. Usimtajie hesabu ya tofali. In case akitoa quotation kuzidi 1.2m mpe bei elekezi Kwa tofali.
Msingi kama ukuta tu.
Nashukuru mzee, alishaanza kunipa bei za milion 3.4 [emoji23][emoji23],
 
Fence pasua kichwa kweli. Hapo ina maana kwa tofali ni kama 1.2m negotiate nae isizidi 1m. Usimtajie hesabu ya tofali. In case akitoa quotation kuzidi 1.2m mpe bei elekezi Kwa tofali.
Msingi kama ukuta tu.
Nimekucheki PM boss,
 
nyumba ya vyumba vinne

mifuko 5 ya gypsum powder@25,000
white enamel ndoo 3-4@35,000
white cement mfuko 1-2 @35,000

ufundi
skimming 200,000

Rangi nje
white enamel ndoo 1 na nusu@35,000
binder ndoo 1@90,000
weatherguard ndoo 1 na nusu@140,000 +75,000
rangi ya fishabodi kopo2 za lita4@16,000
rangi ya grill kopo 2 za lita4@16,000

Rangi ndani
white enamel ndoo 3@35,000
primer ndoo 2 @ sikumbuki bei
silk ndoo 2 @140,000

Ufundi laki 350,000

N.b: Huyo ni fundi wa mkoani mkuu ndio alinifanyia mimi nyumba vyumba 4
na hizo bei za rangi ni huku mkoani mkuu nyie wa dar mna bei zenu

Sama white emulsion sio enamel mkuu , ni ya mafuta
 
Kama keshaezeka ujue he still have long way to go. Yaan in short umemaliza asilimia 40 ya ujenzi. Hapo ndo ujenzi umeanza, finishing huwa inakula sana pesa. Weka milion4.5 gril za madirisha na vioo vyake, blqndaring na gypsum weka 3m, lipu nje ndani 2.5m, rangi nje ndani, inategemeana na rangi gani unaweka ila min 2.5+m, umeme minimum1m maji 1.5 to 2m nimetaja hizi bei zote ni kiwango cha chini sana
Rangi minimum 2.5m hahahahahaha hivi we umejenga kweli au unaropoka tu??
 
Acha kuropoka wewe. Ana madirisha 11 grill moja kaambiwa 150,000 jumla ni 1,650,000.
Nyinyi ndio huwa mnajisifu nimejenga nyumba ya 100m mtu akiangalia haoni cha 100m kumbe umepigwa tu.
Hahahahaha jamaa sound sana, anakwambia ripu 2.5 hahahahaaha

Alafu na rangi minimum 2.5m hahahaha jamaa fix sana sijui kama kajenga kweli au ndio mambo ya JF kila mtu mmiliki wa nyumba..
 
Dada ametoa mtiririko sahihi. Fanya plumbing,wiring,blundering,fremu za milango, weka grill,rough floor halafu piga plaster,piga rangi,weka vyoo,madirisha ya wavu,milango hapo ukiamua unahamia.
una weza kufanya wiring kabla ya blundering?I though wakati wa wiring nyaya nyingi zinaapita juu. Ufafanuzi tafadhali
 
una weza kufanya wiring kabla ya blundering?I though wakati wa wiring nyaya nyingi zinaapita juu. Ufafanuzi tafadhali
Unaweza kwasababu wire zinalala kwenye mbao za paa.
 
Unaweza kwasababu wire zinalala kwenye mbao za paa.

Shukrani sana mkuu.

Mimi nina kibanda changu nakijenga na nimepiga paa, nimeweka grills, na nimeweka frames za milango yote. Kwa sababu nafanya kidogo kidogo huu uzi utanisaidia sana.

Hapo natafuta few steps that are easy todo nizifanye mdogo mdogo hasa hasa wiring and plumbing and blundering. Shukrani
 
Amani iwe kwenu wakuu
Naomba msaada, setting room yangu inaukubwa wa 5×6=sq30 naomba mwenye designing nzuri ya blundering aweke hapa nifanye maamuzi.
 
Wiring nipo kwenye phase B
, phase A tayari na walishachimbia kwenye ukuta hizo conduct pipe, na material ya phase B ni Wire6mm,4mm,1.5mm,2.5mm switch zote,circuit break tronick, 1 gain 1 way, 3gain 2 way vyote hivi tayari nimeshanunua sasa swali ni hivi wakati wa kusuka wire kwenye roof nifanye ya surfaces au nitumie conduct pipe.... Maana ya surface nimeona isijeleta shida kwa kuliwa na panya hizo wire mbeleni au sio rahisi, maana kutumia tena pipe juu wakati wa kusuka naona ni gharama aiseeehhh nisije toka kwenye railway
mkuu naomba unisaidie garama ulizo tumia maake mwenye na rquirement kama zako fundi kanipa estimation mhh hatree
 
Back
Top Bottom