Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
- Thread starter
- #201
Thanks sana boss nitafanya hivyo ujenzi mwingine maisha ni nyumba nimejenga hii so nina uzoefu wa vitu vingi sana, nimejaribu kupiga hatua japo, ila nimefurahi kwa mawazo yako nitakucheki PM tuzidi kuwasiliana kwaajili ya ushauri wa hapa na paleNimechelewa kuuona uzi, pia ungeweza kuichana 2*6 ukapata 2*2 tatu. Mfano kama ulikua unahitaji 2*2 30, basi kwa 2*6 kumi tu zingetosha hitaji lako
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app