Haupo mbali sana mbaba, maana kijana wa grill alitaka nimpe 150k na dirisha la aluminium ni 230kHilo ni dirisha tu. Grill nayo inategemea unaweza kupata kwa 120,000-200,000 inategemea na flat bars za 4mm au 6mm na urembo uliowekwa. Kifupi grill na dirisha inaweza kuwa 400,000/-
Kati ya spanish na mchina which one is better mkuuTiles inategemea unataka Spanish au Mchina.
Mchina grade 1 sitting room 50*50 ndio zinapendeza box moja 30,000-35,000/- box moja sqm 1.5. Sitting room yako 20sqm utahitaji 14boxes ambayo ni 490,000/-.
Fundi anachaji sqm moja 5,000/-
Boss haina mjadala hio, Spanish Tiles.Kati ya spanish na mchina which one is better mkuu
Kuzijua grade husika unahitaji nini kuangalia na kuzitambua, na Spanish na mchina utofauti upoje mkuuTiles inategemea unataka Spanish au Mchina.
Mchina grade 1 sitting room 50*50 ndio zinapendeza box moja 30,000-35,000/- box moja sqm 1.5. Sitting room yako 20sqm utahitaji 14boxes ambayo ni 490,000/-.
Fundi anachaji sqm moja 5,000/-
Wiringi ni nini mkuuHabari za kwenu wanajamvi,
Nakuja hapa nikiomba ushauri/msaada wa dhati kabisa juu ya ujenzi nina 15million ya kumalizia vitu vichache je itatosha? na kwa sasa najua wengi wenu humu mna uzoefu na mafundi mpo humu, kwa mtu anaejua naomba kujuzwa nyumba yangu ina ukubwa wa 14.6*12.3 Squaremita na vyumba vinne, sasa nipo kwenye hatua ya finishing naomba msaada wa kujua nyumba ya namna hii yenye vyumba vinne je gharama zikoje katika hatua hizi hapo chini
Blundering
Kupiga plasta
Kufanya plumbing
Kuweka tiles
Wiringi
Kupiga rangi
Madirisha ya aluminium
Naomba usaidizi gharama za mafundi na materials zikoje?
Maduka ya kariakoo huwezi kukuta Spanish kuna mchina tu. Nenda maeneo ya Victoria pale au Mwai Kibaki karibu na daraja la mlalakuwa utaona maduka ya spanish tiles.Kuzijua grade husika unahitaji nini kuangalia na kuzitambua, na Spanish na mchina utofauti upoje mkuu
Tronic[emoji91] [emoji91] [emoji91]Tembelea maduka wewe mwenyewe. Tronic nzuri. Kwa nyumba zetu watu wa chini huwezi kuwaepuka wachina ila unaangalia mchina kiwango kizuri kidogo. Tembelea maduka ya Kariakoo mwenyewe utajua bei.
Spanish ni grade one mbaba na bei yake hailinganiki na yeyote.Kati ya spanish na mchina which one is better mkuu
Spanish wana duka zao maalum hauzwi hovyo hovyo bossKuzijua grade husika unahitaji nini kuangalia na kuzitambua, na Spanish na mchina utofauti upoje mkuu
Nikiziona nazijua ila kuelezea siwezi.Poa mbaba....... How to differentiate spanish & mchina
Ninaweza kukupa makadirio yako yote lkn nitahitaji kujua uko mkoa gani kwani kila mkoa una bei tofauti na mwingine.Poa mbaba....... How to differentiate spanish & mchina