Weka vipaumbele muhimu kwanza;
1. Grill za milango na madirisha, @120,000/- dirisha na @180,000/- mlango wa mbele.
Hivyo, 120,000x11=1,320,000/- + 180,000/- =.....
2. Wiring materials inaweza cost 1,500,000-2,000,000/- kila kitu kutegemeana na quality ya wiring unayotaka.
3. Plumbing pia ni relative, andaa 1,000,000/-
4. Floor, mchanga gari moja @120,000/-, cement 15-20bags @14,000/-(sijui maeneo yako bei ikoje)
5. Blundering, unaweza kupiga nyumba nzima ili usije kugonga manyundo baadae, inaweza kufika 1,500,000/- kwa nyumba yote.
6. Plastering ndani na nje, gari mbili za mchanga @120,000/-, cement 30-35bags @14,000/-.
Fanya mahesabu, ukifika hapo unaweza kutimba ndani, the rest utamaliza taratibu coz hiyo 15m hauitatosha gypsum boards, skimming, rangi, tiles, PVC board na aluminium windows.
Hongera kwa hatua hiyo mkuu.