Msaada: Naomba makadirio ya hizi nyumba

Msaada: Naomba makadirio ya hizi nyumba

MR LINKO

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2016
Posts
3,034
Reaction score
3,526
Habari kwa wajuzi wa majengo,nyumba,apartment naomba kujua gharama za hii ramani kwa ujumla. Nature ya eneo lako ni tambarare, kumbuka makadirio ya KIASI CHA PESA TU.

PICHA NUMBER 1

8-one-bed-apartment.jpg.jpeg


PICHA NUMBER 2
19-two-bedroom-plan.jpg.jpeg


Natanguliza shukranii
 
Habari kwa wajuzi wa majengo,nyumba,apartment naomba kujua gharama za hii ramani kwa ujumla. Nature ya eneo lako ni tambarare, kumbuka makadirio ya KIASI CHA PESA TU.

PICHA NUMBER 1

View attachment 2269678

PICHA NUMBER 2
View attachment 2269679

Natanguliza shukranii
Kuna watu wamesomea haya mambo chuoni kwa miaka 4 mpaka 5... watafute wakupe mwongozo.

NB: Huwezi toa makadirio kwenye picha, ingekua mchoro wenye vipimo hapo sawa.
 
Back
Top Bottom