Msaada: Naomba Mbinu zinazoweza nisaidia kuachana na Mapenzi chuoni

Msaada: Naomba Mbinu zinazoweza nisaidia kuachana na Mapenzi chuoni

Chuo wewe tayari ni mtu mzima ndio maana huko hakuna anae kufuatilia jamii imekuamini .

Chuoni ni sehemu ya kujifunza matakataka yote yaliopo chini ya jua cos hapo ndipo sehemu sahihi na muda unao wa kufanya hivyo .

Trust me usipo jiachia chuoni katika maisha yako sahau kuja kuwa na muda mzuri wa kufurahia maisha.

Chuoni ni sehemu ya kucheza uwezavyo bila kusahau kilicho kupeleka
Aiseeee tatizo hii course seio ualimu Mkuu!😂
 
Endelea na mapenzi hadi mwisho wa semista, utadisco na hautarudi mwakani, hivyo mapenzi ya chuo hutayaona tena. Kila la heri mkuu
 
Fata kilicho kupeleka na utunze bikra yako eeh naona form 6 imemwaga watoto
Habari wana jukwaa

Naomba msaada tafadhali wale waliomaliza Chuo bila kua na mahusiano ya kimapenzi waliweza vipi? na wale ambao walikua na mahusiano lakini baadae wakaacha na wakamaliza single walifanya nini?

Msaada kwa kweli nauhitaji,nijiokoe mimi pamoja na Mabinti zenu muwaokoe maana nitawamaliza.😂😂..(Joke)

Naombeni msaada kwa kweli maana nitaharibu future yangu bure na kizazi changu😂😂
 
Anza nyetoo tu mkuu utakuja nishukuru hata mwajuma akipita unamuona kama Athumani tu
Fuata huu ushauri mkuu, usipofanikisha, uniite mbwa, niko mle kwenye jukwaa la intelijentia nimekaa!

Siku ukiwa tayari kwa mahusiano, andaa 367,000 kisha nifuate PM nikupatie virutubisho tiba!
 
Unakomaa chuo af ukirudi mtaani unakosa ajira unabako kugombania remote na beki tatu ndani ya nyumba ya shemeji yako aliemuoa dadaako.
Mjomba, life halina formula, chuo ni sehem ya kwenda kumalizia ujana ili ukija kitaa tayari umekomaa huna tamaa za kijinga kazi ni kutafuta maisha.
Huko chuo piga miti sana, muhimu chunga afya ya mwili na akili. Tofauti na hapo utamaliza af ukija mtaa ukajaaliwa fwedha utaishia kuzimaliza kwenye kuhonga pamoja na malaya maana utakua umeruka stage so uta overcompensate.
Haya mambo ya kusoma.sana ni huko sekondari maana hakuna sup. Maisha siku hizi hayaangalii GPA, ni makonekshen tu
 
Uachane na mapenzi then ufanye mambo yapi ya msingi huko chuo? Kama akili inaonesha tayari hauna isipokuwa ngono na starehe..

Acha ujinga dogo fanya kilichokupeleka chuo and then hilo buum mnalochezea ipo siku tutalidai..
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ushauri kutoka kwa Mkulima wa kilimo cha mvua uko nyamplukano!
 
Unakomaa chuo af ukirudi mtaani unakosa ajira unabako kugombania remote na beki tatu ndani ya nyumba ya shemeji yako aliemuoa dadaako.
Mjomba, life halina formula, chuo ni sehem ya kwenda kumalizia ujana ili ukija kitaa tayari umekomaa huna tamaa za kijinga kazi ni kutafuta maisha.
Huko chuo piga miti sana, muhimu chunga afya ya mwili na akili. Tofauti na hapo utamaliza af ukija mtaa ukajaaliwa fwedha utaishia kuzimaliza kwenye kuhonga pamoja na malaya maana utakua umeruka stage so uta overcompensate.
Haya mambo ya kusoma.sana ni huko sekondari maana hakuna sup. Maisha siku hizi hayaangalii GPA, ni makonekshen tu
Mtoa mada nadhani jibu lako liko hapa
 
Tafuta series nyingi za muvi na tafuta vijiwe vya kucheza game (play station).
 
Habari wana jukwaa

Naomba msaada tafadhali wale waliomaliza Chuo bila kua na mahusiano ya kimapenzi waliweza vipi? Na wale ambao walikua na mahusiano lakini baadae wakaacha na wakamaliza single walifanya nini?

Msaada kwa kweli nauhitaji, nijiokoe mimi pamoja na Mabinti zenu muwaokoe maana nitawamaliza.😂😂..(Joke)

Naombeni msaada kwa kweli maana nitaharibu future yangu bure na kizazi changu😂😂
Hahaha
 
Habari wana jukwaa

Naomba msaada tafadhali wale waliomaliza Chuo bila kua na mahusiano ya kimapenzi waliweza vipi? Na wale ambao walikua na mahusiano lakini baadae wakaacha na wakamaliza single walifanya nini?

Msaada kwa kweli nauhitaji, nijiokoe mimi pamoja na Mabinti zenu muwaokoe maana nitawamaliza.😂😂..(Joke)

Naombeni msaada kwa kweli maana nitaharibu future yangu bure na kizazi changu😂😂
Wake za watu sumu
 
Back
Top Bottom