Ni dalili ya wewe unapambana na maaduwi zako lakini wamekukimbia kutokana na maombi unayo yafanya aka ibada zako ndio zinazo kusaidiaHerbalist Dr MziziMkavu
Msaada pls.
Nimeota Bi Mkubwa kanipa kisu nikakamate kuku nichinje. Ile kutoka nikakuta kuku wengi ila sasa nikawaza kuwakamata kwa kuwakimbiza ni ujinga, nikapata wazo nikae nifanye kama nawapa msosi ili wasogee.
Hapo nikita kisu kushoto kwangu mara kuku mmoja alikuja kushoto na nilimuona kama demu fulani chuo rafiki kiaina sio sana. Nikawa na mbembeleza kwa kumshika shika mabega ili aniamini niingie nae ndani nimchinje.
Kisu sikukiona tena, na nilishtuka.
Niambieni ina maana au tu ni shibe?
maombi yetu yanakubeba wewe soo yule kijana mwenye I'd ya shetan mkuu?π
Kwenye maisha yangu haijawahi pita day sijasema na Mungu japo kifupi sana kumbe yanafikamaombi yetu yanakubeba wewe soo yule kijana mwenye I'd ya shetan mkuu?π
huyu dogo nabii ana akili sana kuliko u anavyomfikiriaAliwazalo mjinga ndio litakalomtokea
haha endelea kutoa neno la uzima ila unajua unapoelekea kuna kuni nyingi π mbinguni hakujawah kuwa na kuniKwenye maisha yangu haijawahi pita day sijasema na Mungu japo kifupi sana kumbe yanafika
Walevi, wazinzi, wabakaji, wala witi, wadangaji, wapiga puchu, waangalia x, waongo, wenye tamaa HAWATAURIDHI UFALME WA MUNGU
LEO NAJISIKIA KUTOA NENO LA UZIMA π
Mimi bado sijajitegemea na sikai na mama yangu ila siku tukikutana soda, chakula na vituvidogovidogo na fix mpaka sometime anajiuliza pesa napata wapi na sina kaziMkuu nambie mwisho lini? Kumtumia mama pesa ya kiloba cha unga? Mkuu au cha mchele
Nambie mkuu kuwa honest
mkuu tukigusia mambo ya dini hapa nina uhakika utanichukia πMkuu kama kwenye maisha yako hujawahi sikia sauti ya Mungu kimbia mtafute
Amka utakojoa kitandaniHerbalist Dr MziziMkavu
Msaada pls.
Nimeota Bi Mkubwa kanipa kisu nikakamate kuku nichinje. Ile kutoka nikakuta kuku wengi ila sasa nikawaza kuwakamata kwa kuwakimbiza ni ujinga, nikapata wazo nikae nifanye kama nawapa msosi ili wasogee.
Hapo nikita kisu kushoto kwangu mara kuku mmoja alikuja kushoto na nilimuona kama demu fulani chuo rafiki kiaina sio sana. Nikawa na mbembeleza kwa kumshika shika mabega ili aniamini niingie nae ndani nimchinje.
Kisu sikukiona tena, na nilishtuka.
Niambieni ina maana au tu ni shibe?
Mwanangu sijawahi chukia mtu sababu ya dini, nilikuwa na demu fulani Mbishiiiiiii hatarii unaongea nae mambo ya dini(anapenda kuanzisha hizo mada) kwenye simu mpaka unatamani umrukie tikitakamkuu tukigusia mambo ya dini hapa nina uhakika utanichukia π
Hapa umeandika uongo... au sahihi zaidi ni kuwa wewe unadhani unamjua Mungu lakini humjui? Ungekuwa unamjua Mungu ungesumbuliwa na ndoto na kuhangaika kupata tafsiri? Watu mnajitafutia kupigwa fedha bila sababu yoyote. Binadamu kuota ni jambo la kawaida. Kuna ndoto za kuogofya, kufurahisha na kila aina, inategemea na state ya akili na mwili wako.Kwenye maisha yangu haijawahi pita day sijasema na Mungu japo kifupi sana kumbe yanafika
Walevi, wazinzi, wabakaji, wala witi, wadangaji, wapiga puchu, waangalia x, waongo, wenye tamaa HAWATAURIDHI UFALME WA MUNGU
LEO NAJISIKIA KUTOA NENO LA UZIMA π
sawasawa.....π ujitume sasa usifurahi kwa ajili ya ndoto tuMwanangu sijawahi chukia mtu sababu ya dini, nilikuwa na demu fulani Mbishiiiiiii hatarii unaongea nae mambo ya dini(anapenda kuanzisha hizo mada) kwenye simu mpaka unatamani umrukie tikitaka
Sembuse wewe mwanangu wa faida π
kule una uongozi na vyeo vya kutoshaπ Dahhh kusema ukweli mara Pap RIP mi motoni direct
Hadi uokoke πππOngeza juhudi kusoma na kutafsiri maandiki mengi zaidi
π€£π€£ bangi hazikuj kukuacha salama mdogo wanguSawa president maana wewe ndio umenigawia vyeo