cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta pesa uache kuota ndogo za kifedhuli mdogo wangu
Wenye pesa wanaotaga tu check imepotea au ame deposit pesa kidogo Kwa account yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta pesa uache kuota ndogo za kifedhuli mdogo wangu
Wenye pesa wanaotaga tu check imepotea au ame deposit pesa kidogo Kwa account yake
1 Yoh 1:8-10Nimeokoka ila kwa sasa nimerudi nyuma kiimani
Au kontena zake zinawaka moto huko baharini🤣Tafuta pesa uache kuota ndogo za kifedhuli mdogo wangu
Wenye pesa wanaotaga tu check imepotea au ame deposit pesa kidogo Kwa account yake
mwanangu wewe wa wap Natokea mkuu RomboTafuta pesa uache kuota ndogo za kifedhuli mdogo wangu
Wenye pesa wanaotaga tu check imepotea au ame deposit pesa kidogo Kwa account yake
tuendelee kuhustle kuepuka ugali wa shkamoo 😂Sijafurahiiii mkuu ni dalili njema, mbona naota vingi ila hiki nime share
Mathayo 11:12Natubu ila dhambi nafanya one time time, ila nitajitahidi sana ujana huu tabu
una ushahidi na haya mkuu?? 😂Mda wote upo JF kwenye PM za wadada na kulike picha za makalio jukwaa la photos unahustle wapi?
Sijawahi amini katika ndoto, we potezea tu huenda kulikuwa na story za kuchinja kuku , hapo kuna story za huyo mdada. Taarifa nyingi kwenye ubongo zikaja kwa wakati mmoja.Herbalist Dr MziziMkavu
Msaada pls.
Nimeota Bi Mkubwa kanipa kisu nikakamate kuku nichinje. Ile kutoka nikakuta kuku wengi ila sasa nikawaza kuwakamata kwa kuwakimbiza ni ujinga, nikapata wazo nikae nifanye kama nawapa msosi ili wasogee.
Hapo nikita kisu kushoto kwangu mara kuku mmoja alikuja kushoto na nilimuona kama demu fulani chuo rafiki kiaina sio sana. Nikawa na mbembeleza kwa kumshika shika mabega ili aniamini niingie nae ndani nimchinje.
Kisu sikukiona tena, na nilishtuka.
Niambieni ina maana au tu ni shibe?
Mama yako anataka uoe ila kuna changamoto hapo ya kupata mchumba.Herbalist Dr MziziMkavu
Msaada pls.
Nimeota Bi Mkubwa kanipa kisu nikakamate kuku nichinje. Ile kutoka nikakuta kuku wengi ila sasa nikawaza kuwakamata kwa kuwakimbiza ni ujinga, nikapata wazo nikae nifanye kama nawapa msosi ili wasogee.
Hapo nikita kisu kushoto kwangu mara kuku mmoja alikuja kushoto na nilimuona kama demu fulani chuo rafiki kiaina sio sana. Nikawa na mbembeleza kwa kumshika shika mabega ili aniamini niingie nae ndani nimchinje.
Kisu sikukiona tena, na nilishtuka.
Niambieni ina maana au tu ni shibe?
Picha hazifungukiVile umelala ukiandika hii comment
View attachment 2643761
Mimi bado sijajitegemea na sikai na mama yangu ila siku tukikutana soda, chakula na vituvidogovidogo na fix mpaka sometime anajiuliza pesa napata wapi na sina kazi
Angalia wale unaotaka kuwachumbia wasikuangushe, kwani kuna namna unapoteza mashiko yako kwao.Eeeeleza kwa upana