Asante mkuu, ntalifanyia kazi hili
Nimemaliza chuo 2017 nimezunguka kutafuta kazi bila mafanikio.
Sasa nataka nianze biashara ya nafaka kama mahindi,maharagwe ya njano, soya mchele, na viungo vya chai na chakula. Cjui nianzie wapi kupata hizo nafaka kutoka kwa wakulima, nipo Moshi.
NB: nimevunja kibubu nna mtaji 1M.
Mtajii unahitajika sh ngapi unahitajikaBiashara ya nafaka ni nzuri ila tatizo ni mtaji wako, mdogo sana labda ufanye biashara hiyo hapo ulipo.
Ukipata million 5 unaweza kufanya biashara vizuri, hapo unakuwa na uhakika wa kupata angalau laki 3 mpaka 4 faida kwa kila tripu, kwa mtaji huo tafuta pori moja ujichimbie wakati wa msimu nunua mpunga toka kwa wakulima uuzia wa mashineni.Mtajii unahitajika sh ngapi unahitajika
Upload!, Donebusiness of the 21
Angalia upya jina la hiki kitabu.reture young reture
Upload!, Done
Angalia upya jina la hiki kitabu.
View attachment 1118138
Viko zaidi ya 4,500
Retire Young Retire Richreture young reture rich vya Robert kiyosaki
Angalia upya jina la hiki kitabu.
Retire Young Retire Rich
View attachment 1118681
Audio: Summary
Audio: Complete
PDF: Download attachment
Kwa ajili ya kusoma tu au kazi zako ni za maktaba?View attachment 1118138
Viko zaidi ya 4,500