Nimemaliza chuo 2017 nimezunguka kutafuta kazi bila mafanikio.
Sasa nataka nianze biashara ya nafaka kama mahindi,maharagwe ya njano, soya mchele, na viungo vya chai na chakula. Cjui nianzie wapi kupata hizo nafaka kutoka kwa wakulima, nipo Moshi.
NB: nimevunja kibubu nna mtaji 1M.
Sasa nataka nianze biashara ya nafaka kama mahindi,maharagwe ya njano, soya mchele, na viungo vya chai na chakula. Cjui nianzie wapi kupata hizo nafaka kutoka kwa wakulima, nipo Moshi.
NB: nimevunja kibubu nna mtaji 1M.



