Wa Igima
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 376
- 110
Habari Wana JF,
Adhabu inasemaje kwa mtu ambaye amekamatwa na baadhi ya vitu vya wizi. Je, anatakiwa kulipa vyote au kurudisha hivyo alivyo kamatwa navyo?
Kisa kipo hivi, kuna mtuhumiwa alikamatwa na vitu vya wizi ye akadai aliuziwa lakini ushahidi ulikuwa unaonesha aliiba kesi ilikuwa ni ya kuvunja na kuiba.
Hukumu ilitoka hivi, mtuhumiwa kwenda jera miezi sita au kulipa faini ya shilingi elfu hamsini na mshitaki alirudishiwa baadhi tuu ya vitu vilivyo patikana lkn siyo vyote. Vitu vyote kwa ujumla vilikuwa na thamani ya milioni moja na nusu na case ilikuwa mahakama ya mwanzo.
Swali: Je, haki kweli imetendeka hapa? Na nikifungu gani kimetumika kutoa hukumu ya hivi?
Kama mshitaki nitumie njia ipi ili haki itendeke.
Msaada tafadhari.
Adhabu inasemaje kwa mtu ambaye amekamatwa na baadhi ya vitu vya wizi. Je, anatakiwa kulipa vyote au kurudisha hivyo alivyo kamatwa navyo?
Kisa kipo hivi, kuna mtuhumiwa alikamatwa na vitu vya wizi ye akadai aliuziwa lakini ushahidi ulikuwa unaonesha aliiba kesi ilikuwa ni ya kuvunja na kuiba.
Hukumu ilitoka hivi, mtuhumiwa kwenda jera miezi sita au kulipa faini ya shilingi elfu hamsini na mshitaki alirudishiwa baadhi tuu ya vitu vilivyo patikana lkn siyo vyote. Vitu vyote kwa ujumla vilikuwa na thamani ya milioni moja na nusu na case ilikuwa mahakama ya mwanzo.
Swali: Je, haki kweli imetendeka hapa? Na nikifungu gani kimetumika kutoa hukumu ya hivi?
Kama mshitaki nitumie njia ipi ili haki itendeke.
Msaada tafadhari.