Mhaya wa Arsenal
Member
- Dec 14, 2018
- 86
- 157
- Thread starter
-
- #21
Tunakaribisha mawazo yote. 🙏UDBS,hapa nafikili ni college of business,hivi kama unasoma business huwezi ukatenga Laki mbili alafu ukafanya hata biashara ya viatu tu hapo posta alafu daily ikawa unaandikia report changamoto na manufaa kwa Muda wa siku 56 Kisha ukampa supervisor!?ni lazima uende halimashauri au kwenye companies? Auu business courses ni kwa ajili ya taasisi kubwakubwa tu!?
Samahani mi sikusoma business,so mko free kunitoa tongotongo
Ushafanya follow up?Naam nakubaliana na wewe kuwahi. Pia na mimi nimewahi kutuma lakini hadi sasa hakuna jibu.
Kiukweli nimeomba sehemu 7 tofauti. Ngoja niendelee kupambana.Imekuwa ni changamoto sana kwa vijana wengi wasiojuana na watu kupata FPT stations. Most wanakuwa discouraged na sehemu nyingi wanazoomba na hapo ni fields tu, bado hujazungumzia mambo ya volunteering na sio kama vituo hamna ni ukiritimba na urasimu tu.
Mambo sio marahisi now days nyie mlio Graduate miaka ya 2005 Mwalimu Nyerere Memorial Academy mambo yalikuwa marahis sio Kama Muda huuMimi huwa nashangaag kwaza mtu unakosaje field mimi wakata nasoma najua mwezi fulani nafanya field nasambaza barua za field miezi mitatu kabla na ukiwa unasoma lazima uwe unafanya research ndogo ndogo ili ujue ni maeneo gani kwako ni vyepesi kupata kazi au kufanya field
Aha mimi sija graduate hiyo miaka juzi juzi tu na nina mpango wa kurudi shule mwaka uhuuMambo sio marahisi now days nyie mlio Graduate miaka ya 2005 Mwalimu Nyerere Memorial Academy mambo yalikuwa marahis sio Kama Muda huu
punguza ukorofi weweMimi huwa nashangaag kwaza mtu unakosaje field mimi wakata nasoma najua mwezi fulani nafanya field nasambaza barua za field miezi mitatu kabla na ukiwa unasoma lazima uwe unafanya research ndogo ndogo ili ujue ni maeneo gani kwako ni vyepesi kupata kazi au kufanya field
You can't be seriousAha mimi sija graduate hiyo miaka juzi juzi tu na nina mpango wa kurudi shule mwaka uhuu
Sasa wewe unavyochanganya lugha hivi inafanya uonekane hauko serious. Kama kwenye kuongea ndo hivi pia basi una mtihani.Wakuu habari za wakati huu,
Nakuja kwenu with a humble plea: Msaada in finding a practical training opportunity. (FIELD). Am currently a 2nd year student hapa UDSM (UDBS)
I've been to numerous companies, handing out barua, but wapi. One trick naikuta kote, its humbly said tutakupigia = ndo nitolee, unajiongeza unapita kushoto.
Ila bado naamini that with your guidance, I can develop the skills necessary to succeed in this finance industry.
With gratitude and unwavering perseverance,
Kijana wenu.
Mobile. +255 733 139 827
Email anatory.cfa@gmail.com
kwanini mkuunina mpango wa kurudi shule mwaka uhuu
Ndio ukwelipunguza ukorofi wewe
Trust meYou can't be serious
Nataka kusoma course nyinginekwanini mkuu
hebu nipe madini
Ndugu yangu kama kwako ilikuwa rahisi usifikiri ni kwa wote. Kadiri miaka inavyozidi kwenda mbele ndo wasomi wanazidi kuwa wengi sana. Kwa miaka hii makampuni mengi yana vijana wanaojitolea kiasi kwamba kuwapokea wale wa field inakuwa mtihani sana.Mimi huwa nashangaag kwaza mtu unakosaje field mimi wakata nasoma najua mwezi fulani nafanya field nasambaza barua za field miezi mitatu kabla na ukiwa unasoma lazima uwe unafanya research ndogo ndogo ili ujue ni maeneo gani kwako ni vyepesi kupata kazi au kufanya field
Nisharekebisha kiongozi. Asante kwa mawazo. Tupo kujifunza.Sasa wewe unavyochanganya lugha hivi inafanya uonekane hauko serious. Kama kwenye kuongea ndo hivi pia basi una mtihani.
Bora umemwambia Apate kuelewa mamboNdugu yangu kama kwako ilikuwa rahisi usifikiri ni kwa wote. Kadiri miaka inavyozidi kwenda mbele ndo wasomi wanazidi kuwa wengi sana. Kwa miaka hii makampuni mengi yana vijana wanaojitolea kiasi kwamba kuwapokea wale wa field inakuwa mtihani sana.
Nisharekebisha tajiri.Matajiri wengine hatujui kingereza apo hatujui umeandika nini na unataka nini...kuwa makini
Hapa ni popote itakapo patikana kuendana na alicho someaPole mleta mada, unapendelea kufanya field kwenye kampuni zipi?
hauwezi fanyia hapo hapo chuo??Nisharekebisha tajiri.