Kyamtwala
JF-Expert Member
- Sep 18, 2014
- 252
- 150
Umehitimu chuo gani diploma...!Habari zenu wadau... Naomba mtu mwenye uwelewa na haya Mambo ya AVN anisaidie maana chuo wanachelewesha kuapload matokeo na mda unaenda..
View attachment 1911704
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umehitimu chuo gani diploma...!Habari zenu wadau... Naomba mtu mwenye uwelewa na haya Mambo ya AVN anisaidie maana chuo wanachelewesha kuapload matokeo na mda unaenda..
View attachment 1911704
Wasumbue mara kwa mara chuoni wapeleke matokeo Nacte kwenye kansa husika. Mpigie msajili hapo chuoni ikibidi uende kama ni karibu, mpigie na mkurugenzi yaani we piga simu hadi yapelekwe.Habari zenu wadau... Naomba mtu mwenye uwelewa na haya Mambo ya AVN anisaidie maana chuo wanachelewesha kuapload matokeo na mda unaenda..
View attachment 1911704
mkuu tatizo lako ulilitatua? ulifanyaje?Wasumbue mara kwa mara chuoni wapeleke matokeo Nacte kwenye kansa husika. Mpigie msajili hapo chuoni ikibidi uende kama ni karibu, mpigie na mkurugenzi yaani we piga simu hadi yapelekwe.
Nilienda tena nacte ofisini kwao nikasaidiwa sasa sijui siku za nyuma walikuwa wanakwama wapi.mkuu tatizo lako ulilitatua? ulifanyaje?
Nilienda tena nacte ofisini kwao nikasaidiwa sasa sijui siku za nyuma walikuwa wanakwama wapi.
Taasisi za Tanzania zinarespond matatizo ya watu taratibu sanaNilienda tena nacte ofisini kwao nikasaidiwa sasa sijui siku za nyuma walikuwa wanakwama wapi.
Mtalam vip ulifanikiwa? je ulifanyaje kuipataJamani msaada napataje AVN ikiwa nimesahau username na password nilizizitumiaga pindi najisajiri.
Wewe bonfya paliopoandikwa kwamba una 'account' kisha utabofya pale panaposema umesahau nywila. Baanda ya hapo itakulazimu kujaza 'username' ambayo utajaza namba yako ya kidato cha nne katika mfumo wa S..Namba ya shule/namba ya mtihani/mwaka wa kuhitimu mf: S1001/0011/2023Jamani msaada napataje AVN ikiwa nimesahau username na password nilizizitumiaga pindi najisajiri.
Na vipi kwa mwaka wameshatoa selection ya waliomba vyuo vya kati?Wewe bonfya paliopoandikwa kwamba una 'account' kisha utabofya pale panaposema umesahau nywila. Baanda ya hapo itakulazimu kujaza 'username' ambayo utajaza namba yako ya kidato cha nne katika mfumo wa S..Namba ya shule/namba ya mtihani/mwaka wa kuhitimu mf: S1001/0011/2023
kisha utajaza namba yako ya simu uliyojiandikisha mwanzo. Ukimaliza hapo watakutumia 'CODE'