Nimechanganyikiwa usiku nikimgusa mke wangu napigwa shoti, nikikanyaga chini peku peku napigwa shoti mbaya zaidi. Leo asubuhi nimesalimiana na mtu ameshangaa nimepiga shoti yaani hadi ameshtuka kabisa.
Hii ni nini jamani mwenye kujua zaidi anielekeze, maana nahisi kuchanganyikiwa
[emoji1]Fika TANESKO, Dili hilo
tehe tehe teheAlbadir imeanza kufanya kazi