Msaada nashindwa kufuta account ya Facebook

Msaada nashindwa kufuta account ya Facebook

Ila option ya kudeactivate FB ipo:

1. Fungua Facebook App au desktop.
2. Juu kulia utaona profile picture ibonyeze.
3. Shuka chini hadi Setting & privacy.
4. Bonyeza Personal and account information.
5. Kisha Account ownership and control.
6. Kisha bonyeza Deactivation and deletion.
7. Kisha Deactivate Account,
8. Alafu bonyeza Continue to account deactivation hapo utafuata maelekezo madogo kama kuweka password etc.

9. Confirm.
Kisha wanaiweka kwenye schedule ya deletion kwahyo itabidi asi-log in tena
 
Ila option ya kudeactivate FB ipo:

1. Fungua Facebook App au desktop.
2. Juu kulia utaona profile picture ibonyeze.
3. Shuka chini hadi Setting & privacy.
4. Bonyeza Personal and account information.
5. Kisha Account ownership and control.
6. Kisha bonyeza Deactivation and deletion.
7. Kisha Deactivate Account,
8. Alafu bonyeza Continue to account deactivation hapo utafuata maelekezo madogo kama kuweka password etc.

9. Confirm.
Umetusaidia wengi.
 
Lakini sababu zako za kufuta ni weak.
Hiyo account ya zamani si ndio nzuri kwaajili ya kumbukumbu zako na kujua ulikotoka.
Kailock ili watu wasiipate details zake au post zilock
 
mbona hakuna sehemu imeandikwa ivyo
Wacha uwongo wewe 😊😊

Ukishabofya jina langu angalia pale chini kidogo utaona follow, ignore na start conversation sasa ubofye start convo apo alaaa
 
Ila option ya kudeactivate FB ipo:

1. Fungua Facebook App au desktop.
2. Juu kulia utaona profile picture ibonyeze.
3. Shuka chini hadi Setting & privacy.
4. Bonyeza Personal and account information.
5. Kisha Account ownership and control.
6. Kisha bonyeza Deactivation and deletion.
7. Kisha Deactivate Account,
8. Alafu bonyeza Continue to account deactivation hapo utafuata maelekezo madogo kama kuweka password etc.

9. Confirm.
Asibonye deactivate abonye delete.
Hapo zikipita siku 30 account itakua imefutwa mazima na no where to be found.
 
Wacha uwongo wewe 😊😊

Ukishabofya jina langu angalia pale chini kidogo utaona follow, ignore na start conversation sasa ubofye start convo apo alaaa
ahahah sina nguvu za kubonfya
 
Back
Top Bottom