Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Dah kwel unachoxm kk
K
Kak mbn unanitixha at
Kak mbn unaniogopesha sasa dah
Asa mbn unachek ten
Unasoma kidato cha ngapi?Nimeacha kak
Kwa nini unaandika hivi?
Siku ukiamua kuwa siriazi na kuandika vizuri, tatizo lako litaisha siku hiyo hiyo. Utafikiri kuwa hili ni jambo dogo lakini hii mediocrity unayoionyesha kwenye maandishi hapa inagubika kila eneo la maisha yako ikiwemo kut*mba.
Utamezeshwa hata madawa ya mtaani uue figo zako kumbe dawa ni kuacha udwanzi (mediocrity) tu. Be serious with your life and everything will fall into place, son!