Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
- Thread starter
-
- #41
Ebu njoo pmUnasumbuwaliwa Na panic atack
Hilo tatizo limeshanipata Mimi
Na kizuri zaidi uo sio ugonjwa apana Bali Na matatizo ya saikolojia tu
Mtu unafikiri kuwa ni mgonjwa kumbe wapi
Pole,Hope mko poa. Miaka ya nyuma Kama 10yrs ago wakati wa utoto, nilipenda sana kucheza Mpira, nilipokuwa nakimbia Sana nilikuwa nasikia Kama Kuna kitu kinabana kwenye moyo afu kinaacha Basi nikawa nachukulia poa, kwa kua haikunizuia kufanya kazi zangu za kila siku.
Miaka ilienda nkawa Kama muda mwingine napumbua kwa shida yaani hewa inabana na kuachia, mie nilichukulia poa kwa kua haikuwa serious, nilikuwa nadhani labda Nina nyama kwenye pua maana na mother yangu pua take zilikuwa zinabana.
Lakini siku moja moja nilikuwa na experience Kama mapigo ya nguvu ya moyo, mie nachukulia poa, nilikuwa nachukulia poa kwa sababu nilikuwa siumwi chochote, afu nilikuwa busy na kusoma hizo miaka.
Mwaka 2020 mwishoni nilikuwa nafanya mapenzi na demu wangu nkaisi Kama naishiwa pumzi, Basi nili notes kuwa ntakuwa na shida kwenye moyo, nkajipanga kutafuta hela niende hospital kubwa
Mwezi wa pili 2021 kabla sijaenda hospital nilipata mapigo ya moyo yanayoenda mbio kinyama, moyo ulikuwa unadunda Kama utachomoka, Basi moyo ukaanza kuuma yaani nilishituka hatari, Basi nkatafuta hela nkaenda hospital kwa specialist wa moyo.
Nilipima vipimo viwili, electrocardiogram na echocadiogram. Majibu yalikuwa hivi
Valves zote ziko vizuri, Ejection fraction Ni 86% wakati kwa normal heart Ni 75%, Diastolic disyfunctional grade one(I) afu nilikutwa na hypertrophic cardiomyopathy.
Doctor Ali conclude kuwa moyo wangu umetanuka, especially left ventricle (LH) nilikuwa Sina nguvu ata, ATA kunyanyua kikombe nilikuwa siwezi, moyo wangu ulikuwa unauma Sana, nilikuwa naisi kizunguzungu hatari, nilikuwa na difficult I breathing. Na kifua kubana nkitembea haraka au kunyanyua kitu ATA ndoo.
Nilianza dozii ya vidonge vya losartan na lasix. Nilipangwa kuuzulia kriniki kila baada ya wiki mbili, afu Sina bima Sina kazi. Nilimeza vidonge kwa 5months, nkaacha kwenda clinic maana ukienda unapewa vidonge hivyo hivyo na kupimwa pressure.
Badae Kuna watu washawai kupatwa na moyo kutanuka, wakanishauri nitumie na dawa za kienyeji.baada ya mwaka wa kutumia dawa za kienyeji na za hospital ( baada ya 5 months niliacha dawa za hospital nkaanza za kienyeji) haya ndo matokeo.
- Difficult in breathing imeisha napumua vizuri
- Nguvu ninazo natembea, sio Kama zamani sema siwezi kukimbia maana moyo utauma
- Moyo kuuma imeisha, labda nikimbie au kubeba vitu vzito
- Moyo kwenda mbio imeacha
Matatizo mapya
- yaani siwezi kufanya physical exercise, nkikimbia kidogo moyo utaenda mbie na ku feel uncomfortable
- kufanya mapenzi labda goli moja, sijawa stable
- Tatizo kubwaaaa Ni mkono wa kushoto na bega la kushoto, yaani mkono wa kushoto nkiufanyisha kazi utasababisha niumwe na kifua, na moyo kwenda mbio hatari, upande wa mgongo chini ya bega la kushoto ukifanya kazi kidogo au kubeba vitu vizito, au kufanya mapenzi kwa muda utasikia maumivu uko mgongoni upande wa kushoto.
Kutopona kunanifanya nakuwa na depression hatari mawazo kama yote, na pressure kupanda Mara kwa Mara,
Hapa nilipo Sina amani Wala furaha na maisha,dawa nilizozitumia zimewaponyesha watu wengi ninao wafahamu sahivi wanaendelea na life, Mimi sijui Ni ugonjwa gani huu, mwaka mzima siponi, sijui nimerogwa au Nini, wenzangu niliowakuta hospital kwa tatizo la moyo kutanuka washapona, sio wanyonge Kama Mimi, yaani nkitembea haraka shida, kukimbia shida, kunyanyua kitu kizito shida, ku sex shida khaaa.
Msaada wakuu,
Shukrani mkuu,nipo ArushaPole,
Unaishi mkoa gani? Ulipo unawezapata asali ya nyuki wadogo(nyuki wapore?)
Itafute asali ya nyuki wadogo uwe unatumia kijiko kimoja mara2 kwa siku huku unatumia ndizi mbivu mara kwa mara na kujitahidi kupunguza msongo wa mawazo.
Ukizingatia hayo utaishi kama wenzako
Amini utapona na afya yako itarudi sawaHope mko poa. Miaka ya nyuma Kama 10yrs ago wakati wa utoto, nilipenda sana kucheza Mpira, nilipokuwa nakimbia Sana nilikuwa nasikia Kama Kuna kitu kinabana kwenye moyo afu kinaacha Basi nikawa nachukulia poa, kwa kua haikunizuia kufanya kazi zangu za kila siku.
Miaka ilienda nkawa Kama muda mwingine napumbua kwa shida yaani hewa inabana na kuachia, mie nilichukulia poa kwa kua haikuwa serious, nilikuwa nadhani labda Nina nyama kwenye pua maana na mother yangu pua take zilikuwa zinabana.
Lakini siku moja moja nilikuwa na experience Kama mapigo ya nguvu ya moyo, mie nachukulia poa, nilikuwa nachukulia poa kwa sababu nilikuwa siumwi chochote, afu nilikuwa busy na kusoma hizo miaka.
Mwaka 2020 mwishoni nilikuwa nafanya mapenzi na demu wangu nkaisi Kama naishiwa pumzi, Basi nili notes kuwa ntakuwa na shida kwenye moyo, nkajipanga kutafuta hela niende hospital kubwa
Mwezi wa pili 2021 kabla sijaenda hospital nilipata mapigo ya moyo yanayoenda mbio kinyama, moyo ulikuwa unadunda Kama utachomoka, Basi moyo ukaanza kuuma yaani nilishituka hatari, Basi nkatafuta hela nkaenda hospital kwa specialist wa moyo.
Nilipima vipimo viwili, electrocardiogram na echocadiogram. Majibu yalikuwa hivi
Valves zote ziko vizuri, Ejection fraction Ni 86% wakati kwa normal heart Ni 75%, Diastolic disyfunctional grade one(I) afu nilikutwa na hypertrophic cardiomyopathy.
Doctor Ali conclude kuwa moyo wangu umetanuka, especially left ventricle (LH) nilikuwa Sina nguvu ata, ATA kunyanyua kikombe nilikuwa siwezi, moyo wangu ulikuwa unauma Sana, nilikuwa naisi kizunguzungu hatari, nilikuwa na difficult I breathing. Na kifua kubana nkitembea haraka au kunyanyua kitu ATA ndoo.
Nilianza dozii ya vidonge vya losartan na lasix. Nilipangwa kuuzulia kriniki kila baada ya wiki mbili, afu Sina bima Sina kazi. Nilimeza vidonge kwa 5months, nkaacha kwenda clinic maana ukienda unapewa vidonge hivyo hivyo na kupimwa pressure.
Badae Kuna watu washawai kupatwa na moyo kutanuka, wakanishauri nitumie na dawa za kienyeji.baada ya mwaka wa kutumia dawa za kienyeji na za hospital ( baada ya 5 months niliacha dawa za hospital nkaanza za kienyeji) haya ndo matokeo.
- Difficult in breathing imeisha napumua vizuri
- Nguvu ninazo natembea, sio Kama zamani sema siwezi kukimbia maana moyo utauma
- Moyo kuuma imeisha, labda nikimbie au kubeba vitu vzito
- Moyo kwenda mbio imeacha
Matatizo mapya
- yaani siwezi kufanya physical exercise, nkikimbia kidogo moyo utaenda mbie na ku feel uncomfortable
- kufanya mapenzi labda goli moja, sijawa stable
- Tatizo kubwaaaa Ni mkono wa kushoto na bega la kushoto, yaani mkono wa kushoto nkiufanyisha kazi utasababisha niumwe na kifua, na moyo kwenda mbio hatari, upande wa mgongo chini ya bega la kushoto ukifanya kazi kidogo au kubeba vitu vizito, au kufanya mapenzi kwa muda utasikia maumivu uko mgongoni upande wa kushoto.
Kutopona kunanifanya nakuwa na depression hatari mawazo kama yote, na pressure kupanda Mara kwa Mara,
Hapa nilipo Sina amani Wala furaha na maisha,dawa nilizozitumia zimewaponyesha watu wengi ninao wafahamu sahivi wanaendelea na life, Mimi sijui Ni ugonjwa gani huu, mwaka mzima siponi, sijui nimerogwa au Nini, wenzangu niliowakuta hospital kwa tatizo la moyo kutanuka washapona, sio wanyonge Kama Mimi, yaani nkitembea haraka shida, kukimbia shida, kunyanyua kitu kizito shida, ku sex shida khaaa.
Msaada wakuu,
St Elizabeth hospital,kwa father Babu, Kuna doctor wa moyo professional afu Ni maarufu sanaUlienda hospitali gani mkuu
Ipo wapi hiyoSt Elizabeth hospital,kwa father Babu, Kuna doctor wa moyo professional afu Ni maarufu sana
Yanatibu nini?Tafuta majani ya mronge uwe unatafuna.
Hakikisha unayaosha vizuri ili usipate minyoo.
Yanatibu nini?
Ok, tunashukuru kwa taarifa.Maradhi mengi tu ikiwemo hayo ya moyo ya mleta mada.
Kumbe huwa una mawazo mazuri tu ila huwa unajitoaga akili, umemshauri vema na ni wazi kuwa mawazo yanampelekesha.Umeshapata Kazi??
Hayo Mawazo ndio yanapelekea usipone Moyo uzidi kuuma,
Endelea na Dawa za Kienyeji na Kisunna, acha kujifikiria kua wewe ni Mgonjwa, ondoa hayo mawazo kabisa na ujione uko sawa ila ni changamoto ndogo ndogo,
Achana na Mafuta na punguza kiwango cha Chumvi,
Mazoezi fanya ila yasiwe mazito, jipumzishe kwa muda kwenye kufanya mapenzi hadi utakapo pona hayo mawazo uliyokua nayo,
Badili Hospital ukapime upya.
Dah polee sana mkuu utapona tu Kikubwa Muombe Mungu na je baada ya kutumia dawa kwa miezi kadhaa bado moyo unaendelea kuvuta au hali imetulia now?Hope mko poa. Miaka ya nyuma Kama 10yrs ago wakati wa utoto, nilipenda sana kucheza Mpira, nilipokuwa nakimbia Sana nilikuwa nasikia Kama Kuna kitu kinabana kwenye moyo afu kinaacha Basi nikawa nachukulia poa, kwa kua haikunizuia kufanya kazi zangu za kila siku.
Miaka ilienda nkawa Kama muda mwingine napumbua kwa shida yaani hewa inabana na kuachia, mie nilichukulia poa kwa kua haikuwa serious, nilikuwa nadhani labda Nina nyama kwenye pua maana na mother yangu pua take zilikuwa zinabana.
Lakini siku moja moja nilikuwa na experience Kama mapigo ya nguvu ya moyo, mie nachukulia poa, nilikuwa nachukulia poa kwa sababu nilikuwa siumwi chochote, afu nilikuwa busy na kusoma hizo miaka.
Mwaka 2020 mwishoni nilikuwa nafanya mapenzi na demu wangu nkaisi Kama naishiwa pumzi, Basi nili notes kuwa ntakuwa na shida kwenye moyo, nkajipanga kutafuta hela niende hospital kubwa
Mwezi wa pili 2021 kabla sijaenda hospital nilipata mapigo ya moyo yanayoenda mbio kinyama, moyo ulikuwa unadunda Kama utachomoka, Basi moyo ukaanza kuuma yaani nilishituka hatari, Basi nkatafuta hela nkaenda hospital kwa specialist wa moyo.
Nilipima vipimo viwili, electrocardiogram na echocadiogram. Majibu yalikuwa hivi
Valves zote ziko vizuri, Ejection fraction Ni 86% wakati kwa normal heart Ni 75%, Diastolic disyfunctional grade one(I) afu nilikutwa na hypertrophic cardiomyopathy.
Doctor Ali conclude kuwa moyo wangu umetanuka, especially left ventricle (LH) nilikuwa Sina nguvu ata, ATA kunyanyua kikombe nilikuwa siwezi, moyo wangu ulikuwa unauma Sana, nilikuwa naisi kizunguzungu hatari, nilikuwa na difficult I breathing. Na kifua kubana nkitembea haraka au kunyanyua kitu ATA ndoo.
Nilianza dozii ya vidonge vya losartan na lasix. Nilipangwa kuuzulia kriniki kila baada ya wiki mbili, afu Sina bima Sina kazi. Nilimeza vidonge kwa 5months, nkaacha kwenda clinic maana ukienda unapewa vidonge hivyo hivyo na kupimwa pressure.
Badae Kuna watu washawai kupatwa na moyo kutanuka, wakanishauri nitumie na dawa za kienyeji.baada ya mwaka wa kutumia dawa za kienyeji na za hospital ( baada ya 5 months niliacha dawa za hospital nkaanza za kienyeji) haya ndo matokeo.
- Difficult in breathing imeisha napumua vizuri
- Nguvu ninazo natembea, sio Kama zamani sema siwezi kukimbia maana moyo utauma
- Moyo kuuma imeisha, labda nikimbie au kubeba vitu vzito
- Moyo kwenda mbio imeacha
Matatizo mapya
- yaani siwezi kufanya physical exercise, nkikimbia kidogo moyo utaenda mbie na ku feel uncomfortable
- kufanya mapenzi labda goli moja, sijawa stable
- Tatizo kubwaaaa Ni mkono wa kushoto na bega la kushoto, yaani mkono wa kushoto nkiufanyisha kazi utasababisha niumwe na kifua, na moyo kwenda mbio hatari, upande wa mgongo chini ya bega la kushoto ukifanya kazi kidogo au kubeba vitu vizito, au kufanya mapenzi kwa muda utasikia maumivu uko mgongoni upande wa kushoto.
Kutopona kunanifanya nakuwa na depression hatari mawazo kama yote, na pressure kupanda Mara kwa Mara,
Hapa nilipo Sina amani Wala furaha na maisha,dawa nilizozitumia zimewaponyesha watu wengi ninao wafahamu sahivi wanaendelea na life, Mimi sijui Ni ugonjwa gani huu, mwaka mzima siponi, sijui nimerogwa au Nini, wenzangu niliowakuta hospital kwa tatizo la moyo kutanuka washapona, sio wanyonge Kama Mimi, yaani nkitembea haraka shida, kukimbia shida, kunyanyua kitu kizito shida, ku sex shida khaaa.
Msaada wakuu,
Pole sana kiongozi Mwenyezi Mungu atakuponya , hizo dawa za kienyeji ulizozitumia ni dawa mkuu?Hope mko poa. Miaka ya nyuma Kama 10yrs ago wakati wa utoto, nilipenda sana kucheza Mpira, nilipokuwa nakimbia Sana nilikuwa nasikia Kama Kuna kitu kinabana kwenye moyo afu kinaacha Basi nikawa nachukulia poa, kwa kua haikunizuia kufanya kazi zangu za kila siku.
Miaka ilienda nkawa Kama muda mwingine napumbua kwa shida yaani hewa inabana na kuachia, mie nilichukulia poa kwa kua haikuwa serious, nilikuwa nadhani labda Nina nyama kwenye pua maana na mother yangu pua take zilikuwa zinabana.
Lakini siku moja moja nilikuwa na experience Kama mapigo ya nguvu ya moyo, mie nachukulia poa, nilikuwa nachukulia poa kwa sababu nilikuwa siumwi chochote, afu nilikuwa busy na kusoma hizo miaka.
Mwaka 2020 mwishoni nilikuwa nafanya mapenzi na demu wangu nkaisi Kama naishiwa pumzi, Basi nili notes kuwa ntakuwa na shida kwenye moyo, nkajipanga kutafuta hela niende hospital kubwa
Mwezi wa pili 2021 kabla sijaenda hospital nilipata mapigo ya moyo yanayoenda mbio kinyama, moyo ulikuwa unadunda Kama utachomoka, Basi moyo ukaanza kuuma yaani nilishituka hatari, Basi nkatafuta hela nkaenda hospital kwa specialist wa moyo.
Nilipima vipimo viwili, electrocardiogram na echocadiogram. Majibu yalikuwa hivi
Valves zote ziko vizuri, Ejection fraction Ni 86% wakati kwa normal heart Ni 75%, Diastolic disyfunctional grade one(I) afu nilikutwa na hypertrophic cardiomyopathy.
Doctor Ali conclude kuwa moyo wangu umetanuka, especially left ventricle (LH) nilikuwa Sina nguvu ata, ATA kunyanyua kikombe nilikuwa siwezi, moyo wangu ulikuwa unauma Sana, nilikuwa naisi kizunguzungu hatari, nilikuwa na difficult I breathing. Na kifua kubana nkitembea haraka au kunyanyua kitu ATA ndoo.
Nilianza dozii ya vidonge vya losartan na lasix. Nilipangwa kuuzulia kriniki kila baada ya wiki mbili, afu Sina bima Sina kazi. Nilimeza vidonge kwa 5months, nkaacha kwenda clinic maana ukienda unapewa vidonge hivyo hivyo na kupimwa pressure.
Badae Kuna watu washawai kupatwa na moyo kutanuka, wakanishauri nitumie na dawa za kienyeji.baada ya mwaka wa kutumia dawa za kienyeji na za hospital ( baada ya 5 months niliacha dawa za hospital nkaanza za kienyeji) haya ndo matokeo.
- Difficult in breathing imeisha napumua vizuri
- Nguvu ninazo natembea, sio Kama zamani sema siwezi kukimbia maana moyo utauma
- Moyo kuuma imeisha, labda nikimbie au kubeba vitu vzito
- Moyo kwenda mbio imeacha
Matatizo mapya
- yaani siwezi kufanya physical exercise, nkikimbia kidogo moyo utaenda mbie na ku feel uncomfortable
- kufanya mapenzi labda goli moja, sijawa stable
- Tatizo kubwaaaa Ni mkono wa kushoto na bega la kushoto, yaani mkono wa kushoto nkiufanyisha kazi utasababisha niumwe na kifua, na moyo kwenda mbio hatari, upande wa mgongo chini ya bega la kushoto ukifanya kazi kidogo au kubeba vitu vizito, au kufanya mapenzi kwa muda utasikia maumivu uko mgongoni upande wa kushoto.
Kutopona kunanifanya nakuwa na depression hatari mawazo kama yote, na pressure kupanda Mara kwa Mara,
Hapa nilipo Sina amani Wala furaha na maisha,dawa nilizozitumia zimewaponyesha watu wengi ninao wafahamu sahivi wanaendelea na life, Mimi sijui Ni ugonjwa gani huu, mwaka mzima siponi, sijui nimerogwa au Nini, wenzangu niliowakuta hospital kwa tatizo la moyo kutanuka washapona, sio wanyonge Kama Mimi, yaani nkitembea haraka shida, kukimbia shida, kunyanyua kitu kizito shida, ku sex shida khaaa.
Msaada wakuu,
Mkuu kikubwa ni maombi hakuna linaloshindikana juu ya maombi...Hope mko poa. Miaka ya nyuma Kama 10yrs ago wakati wa utoto, nilipenda sana kucheza Mpira, nilipokuwa nakimbia Sana nilikuwa nasikia Kama Kuna kitu kinabana kwenye moyo afu kinaacha Basi nikawa nachukulia poa, kwa kua haikunizuia kufanya kazi zangu za kila siku.
Miaka ilienda nkawa Kama muda mwingine napumbua kwa shida yaani hewa inabana na kuachia, mie nilichukulia poa kwa kua haikuwa serious, nilikuwa nadhani labda Nina nyama kwenye pua maana na mother yangu pua take zilikuwa zinabana.
Lakini siku moja moja nilikuwa na experience Kama mapigo ya nguvu ya moyo, mie nachukulia poa, nilikuwa nachukulia poa kwa sababu nilikuwa siumwi chochote, afu nilikuwa busy na kusoma hizo miaka.
Mwaka 2020 mwishoni nilikuwa nafanya mapenzi na demu wangu nkaisi Kama naishiwa pumzi, Basi nili notes kuwa ntakuwa na shida kwenye moyo, nkajipanga kutafuta hela niende hospital kubwa
Mwezi wa pili 2021 kabla sijaenda hospital nilipata mapigo ya moyo yanayoenda mbio kinyama, moyo ulikuwa unadunda Kama utachomoka, Basi moyo ukaanza kuuma yaani nilishituka hatari, Basi nkatafuta hela nkaenda hospital kwa specialist wa moyo.
Nilipima vipimo viwili, electrocardiogram na echocadiogram. Majibu yalikuwa hivi
Valves zote ziko vizuri, Ejection fraction Ni 86% wakati kwa normal heart Ni 75%, Diastolic disyfunctional grade one(I) afu nilikutwa na hypertrophic cardiomyopathy.
Doctor Ali conclude kuwa moyo wangu umetanuka, especially left ventricle (LH) nilikuwa Sina nguvu ata, ATA kunyanyua kikombe nilikuwa siwezi, moyo wangu ulikuwa unauma Sana, nilikuwa naisi kizunguzungu hatari, nilikuwa na difficult I breathing. Na kifua kubana nkitembea haraka au kunyanyua kitu ATA ndoo.
Nilianza dozii ya vidonge vya losartan na lasix. Nilipangwa kuuzulia kriniki kila baada ya wiki mbili, afu Sina bima Sina kazi. Nilimeza vidonge kwa 5months, nkaacha kwenda clinic maana ukienda unapewa vidonge hivyo hivyo na kupimwa pressure.
Badae Kuna watu washawai kupatwa na moyo kutanuka, wakanishauri nitumie na dawa za kienyeji.baada ya mwaka wa kutumia dawa za kienyeji na za hospital ( baada ya 5 months niliacha dawa za hospital nkaanza za kienyeji) haya ndo matokeo.
- Difficult in breathing imeisha napumua vizuri
- Nguvu ninazo natembea, sio Kama zamani sema siwezi kukimbia maana moyo utauma
- Moyo kuuma imeisha, labda nikimbie au kubeba vitu vzito
- Moyo kwenda mbio imeacha
Matatizo mapya
- yaani siwezi kufanya physical exercise, nkikimbia kidogo moyo utaenda mbie na ku feel uncomfortable
- kufanya mapenzi labda goli moja, sijawa stable
- Tatizo kubwaaaa Ni mkono wa kushoto na bega la kushoto, yaani mkono wa kushoto nkiufanyisha kazi utasababisha niumwe na kifua, na moyo kwenda mbio hatari, upande wa mgongo chini ya bega la kushoto ukifanya kazi kidogo au kubeba vitu vizito, au kufanya mapenzi kwa muda utasikia maumivu uko mgongoni upande wa kushoto.
Kutopona kunanifanya nakuwa na depression hatari mawazo kama yote, na pressure kupanda Mara kwa Mara,
Hapa nilipo Sina amani Wala furaha na maisha,dawa nilizozitumia zimewaponyesha watu wengi ninao wafahamu sahivi wanaendelea na life, Mimi sijui Ni ugonjwa gani huu, mwaka mzima siponi, sijui nimerogwa au Nini, wenzangu niliowakuta hospital kwa tatizo la moyo kutanuka washapona, sio wanyonge Kama Mimi, yaani nkitembea haraka shida, kukimbia shida, kunyanyua kitu kizito shida, ku sex shida khaaa.
Msaada wakuu,