Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmm sin H.pyloriPole sana kesho nenda hospital kapime kipimo cha H. PYLORI majibu yakiwa negative nitakurudishia hela yako ya nauli
Hili ndio tatizo langu la kupanik na kuwaza mawazo mabaya tu au vitu vibaya vitanitokeaUnasumbuwaliwa Na panic atack
Hilo tatizo limeshanipata Mimi
Na kizuri zaidi uo sio ugonjwa apana Bali Na matatizo ya saikolojia tu
Mtu unafikiri kuwa ni mgonjwa kumbe wapi
Mipasheni ile ya kienyeji au ya kisasa?Pole sana mkuu lkn naomba utumie juice ya majani machanga ya mti wa mpasheni twanga vizuri loweka tumia kutwa ×2 ndani ya wik 3 ulete mrejesho hapa au kokote kwa wadau asante
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ukimpata nami nijuze mkuuHili tatizo lako linatibika kabisa ila Kwa Mimi kuweza kupata hii dawa umekua mtihani kidogo kutokana na uwadimu wa hii dawa {Huwa Kuna baadhi ya dawa naagiza na ninaye muagiza ni mzee na hatumiagi simu kabisa Sasa mpaka kuonana naye yaweza pita miezi hata sita} nikifanikiwa nitakujuza. Stay strong
Bila shakaUkimpata nami nijuze mkuu