Msaada: Nasumbuliwa na tatizo la moyo

Hili nalo naamini ni tatizo pia
 
Mkuu Nina ndugu yangu wa damu ana matatizo Kam haya naomba kujua dawa za kienyeji ulizo tumia mkuu samahani lakini.
 
Pole sana mkuu, kwanza ondoa hofu hio ndio sayansi ya kwanza ya tiba kwenye kupona ufuatilie kitu kinaitwa Epigenetic
Pili tatizo lako chanzo chake hakikutibiwa that's why unapoteza muda kwenye conventional medicines. Sababu kubwa ya magonjwa ya moyo (coronary heart diseases) ni high amount of cholesterol in the blood ambayo inazuia damu isizunguke ipasavyo had mwishowe inasababisha build up of plague yaani kuta za mishipa ya damu kuziba. Mbaya zaid kuna mishipa midogo sana (veins) kwenye moyo hivyo ikishaziba damu inapita kwa shida sana pia kutokana na sababu hii inatrigger clotting factors kuinitiate clotting damu inaganda sasa ni ngumu sana kupata mzunguko mzuri wa damu hapa ndio utaanza kupata dalili za miguu au mikono kufa ganzi, kuchomachoma, kichwa kuuma hasa maeneo ya mishipa ya pembeni karibu na macho.
 
Hatua za haraka zakufuata ni hizi,
Kwa imegency unatakiwa uwe na Aspirin ndani kwako 24hrs ukiona hali inakuwa mbaya utumie 1 tablet hii inasaidia kuyeyusha damu na hivyo kukuepushia chance ya kupata stroke au heart attack, mara nying hutokea wakati wa asubuhi hivyo ni vizuri uimeze usiku kabla ya kulala au pindi unapojisikia vibaya kwa dalili kama vishipa ya kichwa kuuma, miguu kufa ganzi, kuto kuona vizuri
Hatua ya pili Lazima ubadilishe Diet yako (mlo) hii ndio sehemu muhimu sana
Sababu kuu ya magonjwa mengi ya moyo ni high cholesterol, hyperlipidemia yaani mafuta mengi jamii ya saturated fat, mafuta yaliyonatabia yakuganda na ni mazito.
List hii ya vyakula usitumie
1. Mafuta hata tone moja lisiwekwe kwenye chakula Chako
2.chumvi hata isiwekwe kabisa kwenye msosi wake
3.Sukari usitumie kabisa utaipata kwenye matunda
3. Kahawa, sio nzuri inapandisha pressure
4 vyakula vilivyokobolewa mfano wali huu tuliozoea mweupe, chapati, maandazi, vitumbua,mkate n.k
5vyakula vilivyosindikwa kwa sababu vinakuwa na free radicals nyingi

Vyakutumia kwa wingI
1.Mboga za majani (super greenfood) kwa sababu zina madini, essential phytonutrients na antioxidant kwaajili yakuondoa hizo free radicals na kupunguza cholesterol pia kizuri zaid kusaidia cell kujijenga upya hasa Mboga muhimu ni spinach, cerely na kale kazitafute japo zinakuwa adimu sana
2 Matunda ya aina zote muhimu sana ni Zabibu kwasabu inasaidia blood, circulation kutokana na uwepo wa nitric oxide production initiator, parachichi usitumie mpak utakapo kaa vizuri kabisa
3Whole food vyakula vizivyokobolewa mfano magimbi, viazi, maharage, mchele wa njano, mahindi tena ukipata yale ya njano inakuwa poa sana
 
Pia utumie vitamin E vidonge kavitafute ni Antioxidant nzuri sana na inazuia damu kuganda pia inapungua cholesterol kwa usalama zaid tofauti na statins ambazo side effects zake ni kubwa for long term use ,pia utafute vidonge venue vit B6 na B12 ni nzuri kwa afya ya moyo na damu.
Bila kusahau kunywa maji mengi sana na kuacha kunywa soda
Karanga usitumie kwanza kutokana na hali yako chskukazania ni hivyo vitu
TAFADHALI HUU NI USHAURI TU NASIO MBADALA WA MATIBABU YAKO, SIO MBADALA WA USHAURI WA DAKTARI WAKO
 
Pia usinywe maziwa, usile samaki na nyama kwa sababu ya saturated fats( mafuta mabaya yenye kuganda) wengi watashaangaa had samaki ila ukweli ndio huo, kuna aina ya samaki ambao want omega fatty acid imezoeleka kama mafuta ya samaki kitaalamu unashauriwa uyapate kutoka kwenye vyakula jamii ya mbegu japo sio mbaya ukawa na omega 3 fish oil na ni powerful kuondoa cholesterol
Onyo!! Unapotumia vitE + omega 3 fish oil usijetumia na Aspirin kwa sababu zote huyeyusha damu hivyo inaweza kupelekea severe bleed yaani kuvuja damu kwa wingi
Bila kusahau mazoexi madogo kama kukimbia kwa wastani, wanaita cardioexercises sio kubeba vitu vizito
 
Usiwe na shaka utapona na kuwa sawa, hatua ya kwanza nenda Jakaya pale Muhimbili Muone mkurugenzi kwa Sasa ni Dr. Kisenge ni mtu mwema sana atakusaidia.
 
Pole sana ndugu kama unapatikana Arusha nenda hospital ya moyo medcare ipo Arusha kaonane na daktari wa moyo anaitwa Julius onesmo
 
Pole kiongozi pia angalia na vyakula unavyokula pia aina ya mazoezi unayopiga mfano kupiga chuma, punguza chumvi, acha kabisa matumizi ya energy drinks na kahawa ni mbaya Sana weka mbali na watoto.
 
Pia acha mawazo hata kama maisha ni magumu penda kujipa furaha kwa maelezo zaidi inbox [emoji392] me
 
Mawazo ni ugonjwa mbaya sana unasababisha mengine yaongezeke ,mawazo,wasiwasi hupelekea moyo kwenda kasi sanaa,ni vyema kubadili badili hospital madokta wengi ni hovyo
 
nakushauri kitu kimoja kwanza,
Moyo umetanuka doctor amekwambia nini chanzo cha moyo kutanuka,,,
Mimi nilikutana na mambo kama hayo 2014,2015,2016,2017,2018 nimezunguruka kika kona
NIMEPIMA colestral , hb,ECG, valve,
Sukari,presha,Echo...Xray,,
Nikatoka hapo kikaenda clinik za tiba mbadala nikaanzia kwa Abdalah mandai longoni, G,mboto,
Nikaenda Sinza kwa doctor John lupimo
Safari ni ndefu mno ,,matibabu nimepitia ngazi mbali mbali ni mabonde na maporomoko,, inafikia mahala unakata tamaa za maisha kabisa...
Ushauri wangu mdogo wangu,,
Nenda upande wa pili wa shilingi..
Moja,,,
Inawezekana ikawa ni jini
Sihr .....uchawi
Presha ,moyo,sukari,macho
Kichwa kuuma sana,mgongo,upungufu wa nguvu za kiume
Kuumwa na kifua,mbavu ..miguu ,magoti
Wakati mwingine ni michezo ya Kiswahili utapoteza muda na pesa zako nyingi sana
Washirika siku hizi teknolojia yao ipo juu sana..pole sana mdogo wangu..
 
Uliponaje ndugu yangu utusaidie na sisi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…