Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ya kutibu Maradhi ya Amoeba ninayo nitafute kwaWakuu wanajf naomba msaada wenu nasumbuliwa sana na amoeba tumboni nimetumia dawa za hospital naona bado.Naombeni ushauriwenu wapi ntapata dawa za asili I mean miti shamba tumbo langu any time linanguluma msaada wenu wadau.
Mkuu umejuaje ni amoeba? Ni juavyo mimi ameoba na protozoa wengine hawana ujanja mbele ya flagyl.