Msaada; Nataka kubadili uraia niwe Mkenya

Msaada; Nataka kubadili uraia niwe Mkenya

Ndio hata kuna baadhi ya nchi kama China 🇨🇳 nchi ķama 76 mtanzania hatakiwi viza
Ni kwl mkuu zipo nyiingi tukijijenga zaidi zitazidi kuongezeka ,ila China hapana inahitaji Visa Taifa kubwa lile mkuu
 
Ni kwl mkuu zipo nyiingi tukijijenga zaidi zitazidi kuongezeka ,ila China hapana inahitaji Visa Taifa kubwa lile mkuu
Oooooh ok sawa ni poa
Ni kwl mkuu zipo nyiingi tukijijenga zaidi zitazidi kuongezeka ,ila China hapana inahitaji Visa Taifa kubwa lile mkuu
Wacha nisome ni nchi gani mtanzania hahitaji viza
 
bila connection na elimu inayo eleweka, Kenya sio parahisi Kama anavyo dhani.

maisha ni ya ghali na magumu kidogo, nawa jua wakenya baadhi wali toka kule kuja kwetu na wame tusua vizuri.

ali sema "what it takes you 5 years to do I'm kenya, may take you one or two years to achieve it in Tanzania"
Mbona unamtisha yy tayari yuko Kenya anaishi huko. Mm namuunga mkono Tanzania tumezaliwa tu lkn ukweli c nchi ya kujivunia
 
Back
Top Bottom