Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anapenda yakwako tuu we kula vizuri kunywa maj kisha mpatie apendacho kwa kutosha. mbaya kama akipenda Ya njeHuyuu sio mdogo mgiriama japoo naoo wanapenda mbo* sanaaa yaaan
Huyo mekutana na mtaish kwaraha ata mkigombana mtarudiana mapema kwakua mnawezana.Tumekutana mm pia napenda sana huyuu mwanamke na mm ni kama malachi ndio naona yeye ni furah yangu kulik hata wanawake wa Tanzania
😂😂😂😂Ushauri mwingine wa huku ni kama tu nguvu za giza.
Yupo aliyesema nenda immigration ya hapo na mkeo usikie watasema nini
Kwako maisha ndo kua Mtanzania maisha ni popote unapo pata uhuru pesa na furaha maisha sio uraia mkuuBro never change your life for a woman broski. Acha mtoto awe ajue culture yako na watu wako
Muache kwanza, sasa hivi hasikii wala haambiliki, atatubu tu mwenyewe.Vishu Mtata, min -me tumwambie au tumuache😂🤣
Hiyo ya kumpenda na kutaka kusacrifice chochote kisa huyo dem ndo anazingua, mwisho wa siku lazima alie tu.bila connection na elimu inayo eleweka, Kenya sio parahisi Kama anavyo dhani.
maisha ni ya ghali na magumu kidogo, nawa jua wakenya baadhi wali toka kule kuja kwetu na wame tusua vizuri.
ali sema "what it takes you 5 years to do I'm kenya, may take you one or two years to achieve it in Tanzania"
Haswaaaaaa! Halafu uwe na tahadhari katika kupenda kwako ili ikitokea siku ukaachwa au kusalitiwa usije ukajitia kitanzi au kunywa sumu kwa ajili ya mapenzi.Kwaiyoo ni bora nije kuishi nao Tanzania sio