munyambo p
Senior Member
- Aug 18, 2017
- 172
- 166
Unajua sheria za uhamiaji kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mke na mtoto wako mtarajiwa usiwalete Tanzania au umeamua kuolewa?!Habari wanajamii. Mimi ni kijana mpambanaji mchapakazi ishu imenileta kwenu ni hii mimi nimekuja huku Kenya niko na miaka 2 sasa, kiukweli naishi poa na nimebahatika kupata msichana na tayari ni mjamzito mpaka mwezi wa 3 natarajia mtoto kutoka kwa binti wa kikenya mrembo sana my love
Sasa hilo tuliache kiukweli nampenda ananipenda sana ila shida iko mm nimeamua nikatae kabisa Tanzania niwe raia wa Kenya sitaki mtoto wangu na mke wangu siku moja niwaaache nirudi Tanzania.
Nilikuwa naomba njia rahisi ya mimi kuwa raia wa huku yaani nipate I'd niwe na haki zote kama Mkenya japo niko na NIDA ya Tanzania nimezaliwa Tanzania full sasa ninataka niwe mkenya kwa ajiri ya maslahi mapana ya mke na mwanangu.
Kiufupi nimejiwekeza maana niko na pikipiki niko na biashara ya nguo huku, pesa ya kubadili mboga napata na mke wangu ana kazi yeye ni msusi mzuri sana
Nisaidien plz sio kama naikataa Tanzania 🇹🇿 ila ninampenda huyu mwanamke kuliko chochote hata kuliko hiyo Tanzania 🇹🇿 yenyewe
Kwann unasema hivyoooFanya chochote kwaajili yako na mwanao(ambaye ndo ndugu yako)...
Kufanya chochote kwaajili ya mwanamke unatafuta dhahma...
Kama utabaki Kenya;baki kwaajili ya mishe zako.
Wanawake wa Kikenya..., afadhali wa Kibongo..
Kwaiyoo ni bora nije kuishi nao Tanzania sioKwanini mke na mtoto wako mtarajiwa usiwalete Tanzania au umeamua kuolewa?!
Ndugu yangu nakuhakikishia dunia hii hakuna mwanamke mwaminifu kiasi cha kumpa moyo wako wote! Wanawake ni vigeugeu na wanabadilikabadilika kwa sababu zisizoeleweka kwahiyo kama umempa moyo wako wote siku moja utajilaumu.
Hapo sawa ila asiwe mpenda mafiga matatu kama wadigo watanga.Hawana shida hawa ni kama watoto wa kitanga yaaan watu wa pwani ya kenya
Usjee nao tz mwanangu hii nchi ukkipata kaupenyo kakutoroka usirud. Labda wakurudishe kwa nguvu uskubali kama ni historia watoto watakuja kwanduguzao kwa paspot haina shdaKwaiyoo ni bora nije kuishi nao Tanzania sio
Sasa umeongeaa point kaka mm sina mpango wa kurudi Tanzania 🇹🇿Us
Usjee nao tz mwanangu hii nchi ukkipata kaupenyo kakkutoroka usiirudd. Labda wakuruddisshee kwa nguvuuu uskuubali kama ni hiistoria watoto watakuja kwanduguzao kwa paspot haina shda
😂😂😂 Sa mwanamke apende nin tena zaid ya hyooHuyuu sio mdogo mgiriama japoo naoo wanapenda mbo* sanaaa yaaan
Sasa hapoo umeongeaa kituu cha maana sanaa ila mm kuna huyuu chifuu ni best sans yeye mdigoo anatak Nifosi majina ni apray I'd sasa hapo si nitakuwa raia mzee unaonajeee hiyooMpaka hapo wewe ni mhamiaji haramu sasa kama unataka uraia rudi kwanza tafuta passport na mtaji then nenda kaombe kibali chakufanya kazi kenya anzia hapo