Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes of course naishi poaa sina shida kama nilivyokuwa na hustler Tanzania hata kula shidaUme sema biashara ya nguo na boda ndo Ume toboa??, angalia long run kaka.
huyo mwanamke asi kudanganye ubadili, ili waku tapeli.
beside hiyo plot iko kwa jina ya nani??
Sasa kuishi kiharali ni vip broo mm huwa natumiaa I'd ya Tanzania sasa niko haram vip yaaanSasa hapo mpaka sasa huna kitu chochote,kwanza tafuta jinsi ya kuishi kiharali ndio uanze kutafuta uraia huezi ukaomba uraia wakati wewe ni mhamiaji haramu
MK254Habari wanajamii. Mimi ni kijana mpambanaji mchapakazi ishu imenileta kwenu ni hii mimi nimekuja huku Kenya niko na miaka 2 sasa, kiukweli naishi poa na nimebahatika kupata msichana na tayari ni mjamzito mpaka mwezi wa 3 natarajia mtoto kutoka kwa binti wa kikenya mrembo sana my love
Sasa hilo tuliache kiukweli nampenda ananipenda sana ila shida iko mm nimeamua nikatae kabisa Tanzania niwe raia wa Kenya sitaki mtoto wangu na mke wangu siku moja niwaaache nirudi Tanzania.
Nilikuwa naomba njia rahisi ya mimi kuwa raia wa huku yaani nipate I'd niwe na haki zote kama Mkenya japo niko na NIDA ya Tanzania nimezaliwa Tanzania full sasa ninataka niwe mkenya kwa ajiri ya maslahi mapana ya mke na mwanangu.
Kiufupi nimejiwekeza maana niko na pikipiki niko na biashara ya nguo huku, pesa ya kubadili mboga napata na mke wangu ana kazi yeye ni msusi mzuri sana
Nisaidien plz sio kama naikataa Tanzania 🇹🇿 ila ninampenda huyu mwanamke kuliko chochote hata kuliko hiyo Tanzania 🇹🇿 yenyewe
Usimsanue mwache alafu ukute dem ni mkikuyu tutajaona taarifa zake citzen tv kwalitalompataVishu Mtata, min -me tumwambie au tumuache😂🤣
Hoja yakoo sasa ni nn kaka mm nafanya tuu biashara ndogo ndogo ya nguo niko na hiyoo piki piki sasa hiyoo business permit mtaji wangu haufik hata elfu 200Kua na ID Ina maana huna kibali cha kuishi kenya na kufanya kazi yoyote au business hapo sasa tafuta kwanza busines permit
Duu hyo nikabila ndogo hstoria yake sina yaweza kuwa niwema ndomana hawavumi kwa maovu.nikuutakie kila lakheri na baraka tele na wepesi pia wakupata uraiaNope sio mkikuyuu ni mcoast mijikenda