Msaada; Nataka kubadili uraia niwe Mkenya

Msaada; Nataka kubadili uraia niwe Mkenya

Embu tengeneza urafiki na wasomali wa Kenya.
Watakupa kipande haraka maana hao jamaa mwezi mmoja tu, mtu katika Somalia na kapewa kipande.

Kabila lako Liwe mijikenda
Sasa mm sio Msomali kaka mm nimetoka tanga Tanzania
 
Intelligent businessman Liverpool VPN njooni mtoe maneno ya mwisho kwa huyu kijana mpotevu.
bila connection na elimu inayo eleweka, Kenya sio parahisi Kama anavyo dhani.

maisha ni ya ghali na magumu kidogo, nawa jua wakenya baadhi wali toka kule kuja kwetu na wame tusua vizuri.

ali sema "what it takes you 5 years to do I'm kenya, may take you one or two years to achieve it in Tanzania"
 
Duh!, kjana wangu umekuwa mshamba wa mbususu namna iyo. Anyway nitalifikisha kwa mwenyekiti Tundu lissu
 
bila connection na elimu inayo eleweka, Kenya sio parahisi Kama anavyo dhani.

maisha ni ya ghali na magumu kidogo, nawa jua wakenya baadhi wali toka kule kuja kwetu na wame tusua vizuri.

ali sema "what it takes you 5 years to do I'm kenya, may take you one or two years to achieve it in Tanzania"
Mm niko sawa hata nimeshanunua plot kaka kiufup mm kenya ni better kwangu kuliko Tanzania 🇹🇿
 
Habari wanajamii. Mimi ni kijana mpambanaji mchapakazi ishu imenileta kwenu ni hii mimi nimekuja huku Kenya niko na miaka 2 sasa, kiukweli naishi poa na nimebahatika kupata msichana na tayari ni mjamzito mpaka mwezi wa 3 natarajia mtoto kutoka kwa binti wa kikenya mrembo sana my love

Sasa hilo tuliache kiukweli nampenda ananipenda sana ila shida iko mm nimeamua nikatae kabisa Tanzania niwe raia wa Kenya sitaki mtoto wangu na mke wangu siku moja niwaaache nirudi Tanzania.

Nilikuwa naomba njia rahisi ya mimi kuwa raia wa huku yaani nipate I'd niwe na haki zote kama Mkenya japo niko na NIDA ya Tanzania nimezaliwa Tanzania full sasa ninataka niwe mkenya kwa ajiri ya maslahi mapana ya mke na mwanangu.

Kiufupi nimejiwekeza maana niko na pikipiki niko na biashara ya nguo huku, pesa ya kubadili mboga napata na mke wangu ana kazi yeye ni msusi mzuri sana

Nisaidien plz sio kama naikataa Tanzania 🇹🇿 ila ninampenda huyu mwanamke kuliko chochote hata kuliko hiyo Tanzania 🇹🇿 yenyewe
Nilichogundua hapa ndoa yako inaonyesha bado mpya mpya,welcome to the world...
 
Back
Top Bottom