Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bila connection na elimu inayo eleweka, Kenya sio parahisi Kama anavyo dhani.Intelligent businessman Liverpool VPN njooni mtoe maneno ya mwisho kwa huyu kijana mpotevu.
Unamromba mtoto wa kikenyaSasa huku mm sijihusishi na siasa kaka mm niko geto na mama mtu na biashara zangu tuuu basi
Utambue TZ kulivyo na vitu vya ajabu!Sasa hiii videos inahusi nn na hilo swali langu kaka
una hoja fulani, ila wasomali Wana Juana bhana.Embu tengeneza urafiki na wasomali wa Kenya.
Watakupa kipande haraka maana hao jamaa mwezi mmoja tu, mtu katika Somalia na kapewa kipande.
Kabila lako Liwe mijikenda
Mm niko sawa hata nimeshanunua plot kaka kiufup mm kenya ni better kwangu kuliko Tanzania 🇹🇿bila connection na elimu inayo eleweka, Kenya sio parahisi Kama anavyo dhani.
maisha ni ya ghali na magumu kidogo, nawa jua wakenya baadhi wali toka kule kuja kwetu na wame tusua vizuri.
ali sema "what it takes you 5 years to do I'm kenya, may take you one or two years to achieve it in Tanzania"
hahaha, aki kaa ndani Wana muona ka mpelelezi au msaliti 😂🤣Ukisikia maandamano hata ya kumuunga mkono au kumuondoa Mchungaji au ya kuondoa takataka sokini just jitahidi kushiriki
Vishu Mtata, min -me tumwambie au tumuache😂🤣🇹🇿 ila ninampenda huyu mwanamke kuliko chochote hata kuliko hiyo Tanzania 🇹🇿 yenyewe
Nilichogundua hapa ndoa yako inaonyesha bado mpya mpya,welcome to the world...Habari wanajamii. Mimi ni kijana mpambanaji mchapakazi ishu imenileta kwenu ni hii mimi nimekuja huku Kenya niko na miaka 2 sasa, kiukweli naishi poa na nimebahatika kupata msichana na tayari ni mjamzito mpaka mwezi wa 3 natarajia mtoto kutoka kwa binti wa kikenya mrembo sana my love
Sasa hilo tuliache kiukweli nampenda ananipenda sana ila shida iko mm nimeamua nikatae kabisa Tanzania niwe raia wa Kenya sitaki mtoto wangu na mke wangu siku moja niwaaache nirudi Tanzania.
Nilikuwa naomba njia rahisi ya mimi kuwa raia wa huku yaani nipate I'd niwe na haki zote kama Mkenya japo niko na NIDA ya Tanzania nimezaliwa Tanzania full sasa ninataka niwe mkenya kwa ajiri ya maslahi mapana ya mke na mwanangu.
Kiufupi nimejiwekeza maana niko na pikipiki niko na biashara ya nguo huku, pesa ya kubadili mboga napata na mke wangu ana kazi yeye ni msusi mzuri sana
Nisaidien plz sio kama naikataa Tanzania 🇹🇿 ila ninampenda huyu mwanamke kuliko chochote hata kuliko hiyo Tanzania 🇹🇿 yenyewe
Ume sema biashara ya nguo na boda ndo Ume toboa??, angalia long run kaka.Mm niko sawa hata nimeshanunua plot kaka kiufup mm kenya ni better kwangu kuliko Tanzania 🇹🇿
Niambieni tuuu mdogo wenuVishu Mtata, min -me tumwambie au tumuache😂🤣