Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Ni kwl mkuu zipo nyiingi tukijijenga zaidi zitazidi kuongezeka ,ila China hapana inahitaji Visa Taifa kubwa lile mkuuNdio hata kuna baadhi ya nchi kama China 🇨🇳 nchi ķama 76 mtanzania hatakiwi viza
Oooooh ok sawa ni poaNi kwl mkuu zipo nyiingi tukijijenga zaidi zitazidi kuongezeka ,ila China hapana inahitaji Visa Taifa kubwa lile mkuu
Wacha nisome ni nchi gani mtanzania hahitaji vizaNi kwl mkuu zipo nyiingi tukijijenga zaidi zitazidi kuongezeka ,ila China hapana inahitaji Visa Taifa kubwa lile mkuu
Mbona unamtisha yy tayari yuko Kenya anaishi huko. Mm namuunga mkono Tanzania tumezaliwa tu lkn ukweli c nchi ya kujivuniabila connection na elimu inayo eleweka, Kenya sio parahisi Kama anavyo dhani.
maisha ni ya ghali na magumu kidogo, nawa jua wakenya baadhi wali toka kule kuja kwetu na wame tusua vizuri.
ali sema "what it takes you 5 years to do I'm kenya, may take you one or two years to achieve it in Tanzania"