Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

...Mkuu, una migahawa dar, Arusha na Mwanza lakini unaomba Ushauri wa kufungua mgahawa njia ya Mbeya ??
Hio mingine uliifungisje??
Yote uliomba Ushauri kwanza ??

Ushauri Mkubwa Kwako utakuwa wa kukushauri usiombe Sana Ushauri Kwa Watu.
Usipende kutoa wazo lako Hadharani. Jitahidi kuchamngamka Mwenyewe. Wapo Watu wamelala tayari tayari kuchukua wazo la Mtu na kulifanyia Kazi haraka, Mengine yote watajua huko huko mbele ya safari !
Mpaka wewe Inakuja kulifanyia Kazi wazo lako, Unakuta Migahawa Kibao imeichalichangamkia wazo lako fasta !

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
....Hivi inatoka Dar kwenda Tanga au Dodoma au Iringa au Mtwara na Lindi kweli ni Lazima ule Njiani ?? Inatoka Kwako umekuls vyema Bado Unataka Kila gari linaposimama ule ? Masaa SITA au Saba TU huwezi kuvumilia , huku una pakiti zako mbili tatu za Karanga za kukaanga ama biskuti na Chupa ya Maji ?...

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Shukran sana mkuu, Hivi eneo kama confort kitonga si lishakufa? Panakodishwa pale au ndo bado mmiliki anakomaa nako?
Mita mia Tano kutoka comfort mbona unapata eneo zuri tuu...hope kile kitongoji chote kina maeneo na bei siyo kubwa....nunua eneo laki maana Wa-TZ wenye maeneo ni vigeugeu sana.....utashangaa unaletewa fitna
 
Mi naomba kujua hiyo migahawa unaiendesha vipi ilhali ipo mikoa tofauti?

Maana ninavyowajua wabongo ufungue mgahawa mwanza wakati wewe unaishi dar watakuibia mpaka uombe poo!!

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ