Msaada: Nataka kununua gari

Honestly kwa pesa hiyo huwezi pata Gari ya maana ni ugonjwa wa moyo endelea

kujipanga then nenda pale Magomeni mapipa opposite na DTB bank utapata Gari kwa mtu yenye hali Nzuri
 
Achana wafanya bznes wanakatisha tamaa wanataka uongeze pesa uende ktk yard zao
Fanya hivi chukua gazeti la mwananchi, mtanzania au nipate nenda ktk matangazo madogomadogo pitia yale utapata gari unalotaka

Tahadhari wakati wa kununua gari nenda na fundi mzuri akukagulie.
Kila la kheri ktk malengo yako inshaalah utapata
 
Heshima kwenu wakuu;naomba ushahuri jamani,Mimi nataka kununua gari yakutembelea je Kati ya Toyota Sienta na Toyota Wish ipi ni gari nzur kwa kitaalam,naomba msaada Mimi Sina uzoefu Wa Magar jamani.ahsante
 
Wajuzi njooni huku jamaa anataka kununua gari,mimi nasubili nikuombe rift mkuu....
 
Mimi na million kumi tu maisha yangu niyakawaida kabisa naishi kwakutegemea mshahara wakuu.
 
Heshima kwenu wakuu;naomba ushahuri jamani,Mimi nataka kununua gari yakutembelea je Kati ya Toyota Sienta na Toyota Wish ipi ni gari nzur kwa kitaalam,naomba msaada Mimi Sina uzoefu Wa Magar jamani.ahsante

ili ushauriwe aina ya gari ni vyema ungesema matumizi yako yakoje. je ni gari ya familia..au ya safari nk.

sina tatizo na izo choices ulizofanya hapo. kama unamatumizi ya kawaida ya kifamilia.

pia kuna toyota nadia inaenda kwa mil 8...tunaweza kuwasiliana kwa 0755815174
 
Vipi Toyota OPA itakufaa? na inaenda kwa 8.7mil tu. km 75000
Waweza ni PM kwa maelezo zaidi boss kama upo interested!
 
unapata gari hiyo kwa kuagiza au kununuwa hapahapa.
ok mkuu ngoja nijikusanye nitakutafuta one day tupeane ma ushauri!ila sitaenda beforward!lkn hujanijibu hizo new model zinaanzia mwaka gani!
 
ok mkuu ngoja nijikusanye nitakutafuta one day tupeane ma ushauri!ila sitaenda beforward!lkn hujanijibu hizo new model zinaanzia mwaka gani!

mimi siyo car dealer wala siyo dalali, gari ni lazima iwe kuanzia mwaka 2005 to date.

kama upo Facebook search page hii car deals tz ni useful kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…