TECHMAN
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 2,651
- 1,127
acha kukariri ni kwa nini kama kuna mtu ana gari anaipenda why asinunuwe? na show room kazi yake ni nini?
Kamshauri kutokana na bajeti yake, 10m show room akanunue nini? Hiyo raum aliyomshauri kuiagiza nikama 9.6m lakini ukichukulia hapa inakwenda mpaka 13m.