acha kukariri ni kwa nini kama kuna mtu ana gari anaipenda why asinunuwe? na show room kazi yake ni nini?
Mm ni dealer wa magar 5 yrs now on it, apart from my professional sikushaur ununue kwa m2 na wala uc ende show room, ingia SBT Japan the best ever company, check raum ya 2005 , utainunua kwa 4.8M na ushuru 4.5 M, it's a good car for u
Don wa kupiga ngumu na kushushia na ARV kwa hisani ya kitimoto??
Mimi na million kumi tu maisha yangu niyakawaida kabisa naishi kwakutegemea mshahara wakuu.
Ongeza hela ifike 15m ndo uagize hizo gari ulizotaja otherwise agiza BAJAJ
Ongeza hela ifike 15m ndo uagize hizo gari ulizotaja otherwise agiza BAJAJ