Msaada: Nataka kusitisha dawa za TB baada ya wiki

Msaada: Nataka kusitisha dawa za TB baada ya wiki

fasi dwasi

R I P
Joined
Sep 23, 2018
Posts
105
Reaction score
108
Jamani nimepewa dawa za TB lakini sikupimwa chochote hata kikohozi kwa sababu nilikuwa sikohoi na sijawah kukohoa ni sijapma TB, baada ya kuwa na hali mbali kwenye mfumo wa upumuaj nipo poa sasa baada ya kutumia machines na dawa.

Sasa najiuliza sina dalili za TB sikohoi kabisa nilikuwa nakohoa kidogo tu kutoka na kukosa pumzi na bila makohozi.

Sasa either nikubali kuendelea kuzitumia hata kama sina na kuna madhara yoyote ya kufanya hivyo? Au naweza kufuatilia ili nisitishe.

Sent using Jamii Forums mobile app

MAONI YA WADAU:
Unaweza ukawa na shida ya ugonjwa lakini shida ya upweke ikawa kubwa zaidi kuliko ugonjwa.
Huyu kijana ni kama faraja yake alikua anaitafuta jamiiforum, huko alipokua alikosa watu wa karibu wa kushare nao anayopitia, wangekuepo wangempa faraja, wangemshauri na wangemwonyesha upendo

Pumzika kwa amani
 
mkuu nimefatilia mabandiko yako 2-3 inaonekana dawa hizi zinakusumbua sana

kama una muda fanya kwenda hosp. tena na kujieleza,hii kuanzishiwa dawa bila ya vipimo naona haijakaa sawa.

Nakuombea upate nafuu mapema na uondokane na mateso haya.
 
Acha masihara basi, TB inaua.

Matibabu ya TB yana Phase 2 Intensive ambayo ndio umepewa izo Dawa za miezi MIWILI na Continuation utapewa Dawa ya Miezi 4.

Hii hatua ya kwanza ni inasumbuaga sana lakini nI hatua ambayo inapunguza nakuua kiwango kikubwa cha Wadudu ndani ya wiki mbili.

Tumia Dawa naamini ndani ya wiki mbili zijazo utaanza kujisikia vzuri.

TUMIA DAWA, TB INAUA KAMA MAGONJWA MENGINE.
 
Carlos The Jackal, Hapa nilipo nina mabomba ya kujisaidia

Nina machine na mirija ya kupumua puani
20200101_094842.jpeg
20200101_095007.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee kama utani tu vile. Tangulia sote tu njia moja.
 
Jamani nimepewa dawa za TB lakini sikupimwa chochote hata kikohozi kwasababu nilikuwa sikohoi na sijawah kukohoa ni cjapma TB, baada ya kuwa na hali mbali kwenye mfumo wa upumuaj nipo poa sasa baada ya kutumia machines na dawa.

Sasa najiuliza sina dalili za TB sikohoi kabisa nilikuwa nakohoa kidogo tu kutoka na kukosa pumzi na bila makohozi.

Sasa either nikubali kuendelea kuzitumia hata kama sina na kuna madhara yoyote ya kufanya hvyo? Au naweza kufuatilia ili nisitishe.

Sent using Jamii Forums mobile app

wapenzi wa Bob Marley hawauguagi TB...au ni just avatar!



rest in peace

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom