Msaada: Nataka kusitisha dawa za TB baada ya wiki

Msaada: Nataka kusitisha dawa za TB baada ya wiki

Unaweza ukawa na shida ya ugonjwa lakini shida ya upweke ikawa kubwa zaidi kuliko ugonjwa.
Huyu kijana ni kama faraja yake alikua anaitafuta jamiiforum, huko alipokua alikosa watu wa karibu wa kushare nao anayopitia, wangekuepo wangempa faraja, wangemshauri na wangemwonyesha upendo

Pumzika kwa amani
(@)Mama D ni kweli kabisa kwa ugonjwa aliokuwa nao alihitaji faraja sana hasa kuanzia watu wa karibu anaoishi nao (wauguzi) pia na watu wenye kufatilia kila hali anayoipata hasa wakati analalamika kuhusu kero za dawa.

Alionekana hakuwa na watu makini wanao mzunguka zaidi ya kupata ushauri hapa JF ila kama kawaida baadhi ya member humu wameweka utoto na utani kwenye matatizo ya watu.

Wengi wao utakuta hawajawahi kukumbana na matatizo ya kuugua au kuuguza wakaona hali halisi ya muombaji ushauri (msaada). Tabia hii ya ku beza matatizo ya watu ife waungwana ni bora kukaa kmya kuliko kujimwambafai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani nimepewa dawa za TB lakini sikupimwa chochote hata kikohozi kwasababu nilikuwa sikohoi na sijawah kukohoa ni cjapma TB, baada ya kuwa na hali mbali kwenye mfumo wa upumuaj nipo poa sasa baada ya kutumia machines na dawa.

Sasa najiuliza sina dalili za TB sikohoi kabisa nilikuwa nakohoa kidogo tu kutoka na kukosa pumzi na bila makohozi.

Sasa either nikubali kuendelea kuzitumia hata kama sina na kuna madhara yoyote ya kufanya hvyo? Au naweza kufuatilia ili nisitishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Takribani watu wote tuna latent TB, so ukiona dalili zinaanza kujitokeza jua sasa upo stage mbovu.

Pole kwake kijana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raha ya milele umpe eee bwana na mwanga wa milele umwangazie
 
Mmmmh, nimekosa hata cha kuandika....... Humu huwa tuna utani mwingi sana. Nafikiri tuanze kuchukulia vitu serious, kuna watu kweli wanakuwa na shida, msaada mkubwa wanahitaji kwetu. Sikuona Uzi, ila najisikia kutubu kabisa!
 
Last seen yake ni 7.18pm Saturday 4th January 2020. Hivyo hayupo online.
Huenda mambo ya JF App ya kwenye smart phone.
Hii ni kama maswali ya kuoneka ID ya Ben ilikuwa hewani miezi kadhaa baada ya kupotea.
Ukitumia web browser inaonesha muda sahihi wa last seen.
 
Last seen sahihi ni Jmos

@unforgetable
Screenshot_20200107-110615.jpeg
 
Unaweza ukawa na shida ya ugonjwa lakini shida ya upweke ikawa kubwa zaidi kuliko ugonjwa.
Huyu kijana ni kama faraja yake alikua anaitafuta jamiiforum, huko alipokua alikosa watu wa karibu wa kushare nao anayopitia, wangekuepo wangempa faraja, wangemshauri na wangemwonyesha upendo

Pumzika kwa amani
Sure. Watu wengi sana wanaupweke na Faraja yao kubwa wanaipata hapa JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MPWA RIP
D INAUMA SANA KILA.NAFSI ITAONJA MAUTI SIO KWA HARAKA HIVI
 
Back
Top Bottom