Msaada: Nataka kusitisha dawa za TB baada ya wiki

Msaada: Nataka kusitisha dawa za TB baada ya wiki

Jamani nimepewa dawa za TB lakini sikupimwa chochote hata kikohozi kwa sababu nilikuwa sikohoi na sijawah kukohoa ni sijapma TB, baada ya kuwa na hali mbali kwenye mfumo wa upumuaj nipo poa sasa baada ya kutumia machines na dawa.

Sasa najiuliza sina dalili za TB sikohoi kabisa nilikuwa nakohoa kidogo tu kutoka na kukosa pumzi na bila makohozi.

Sasa either nikubali kuendelea kuzitumia hata kama sina na kuna madhara yoyote ya kufanya hivyo? Au naweza kufuatilia ili nisitishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah R.I.P Kamanda
 
Ameseme tungeweka juhudi za kumsaidia while it's too late. tatizo letu hatuna utamaduni wa kusaidia pale mtu anapopatwa na tatizo..tunasubiri madhara yatokee ndo tusononeke

Sent using Jamii Forums mobile app
wATU waoga wanahisi kila mtu tapeli anatafuta hela kwa njia ya uongo

wapo watu husema ukweli na dharau dharau zetu mwisho wake ndio huu

haya kweli majuto ni mjukuuu,Nmejiskia kuumia sana kwa huyu mtu,sijui lakini.
 
Nasikitika sana @ mwamba aliwai nifata PM kuomba msaada wa dawa nlizo tumia kwa tatizo langu but nilimtajia majina na msg ya mwisho skumjibu najihisi kilifanya kitu kibaya japo skupenda maana Pm uwa zisifatilii kabisa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nasikitika sana @ mwamba aliwai nifata PM kuomba msaada wa dawa nlizo tumia kwa tatizo langu but nilimtajia majina na msg ya mwisho skumjibu najihisi kilifanya kitu kibaya japo skupenda maana Pm uwa zisifatilii kabisa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa ujifunze mkuu s kila jambo la kupuuza ila hata kwa kumjibu SMS za awali mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ujifunze mkuu s kila jambo la kupuuza ila hata kwa kumjibu SMS za awali mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sikuwa na namba zake za kawaida tulikutana umu katika platifom baada ya kuweka tatizo langu na nlipo rudi kutoa feedback ya kupata tiba ndipo alipo nifata
Pm nilicho kiona kwa @ fasi baada ya kupitia msg nimejifunza vitu viwili 3

1. Fasi alikua anaumwa si kitu kimoja
2. Halingumu ya maisha pia imechangia kwa mpendwa wetu kuondoka maana aliniomba nimpe majina ya dawa tu hakutaka kuonana na mtaalamu kwa kua alinambia hawezi mudu gharama za matibabu na hana bima


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Rip Kamanda,kwa ushauri ungewekwa uzi maalum wa member kusaidiana Kama wakipatwa na matatizo eg ugonjwa,kufiwa e.t.c
 
Back
Top Bottom