Msaada: Nataka kusitisha dawa za TB baada ya wiki

Msaada: Nataka kusitisha dawa za TB baada ya wiki

Carlos The Jackal,
Hivi TB huwa inauwa wagonjwa wa phase gani sanasana?
Kuna watu nimewajua kwa miaka mingi sana karibia 18 wanakohoaga tu kile kikohozi cha asubuh, jioni na hata akiwa kapumzika mwenyewe wapo hadi leo na wengi wana miaka 85 na kuendelea.
.
Na mmoja wa hao wazee aligundulika na TB pamoja na uzee wake alipona na ana nguvu kuliko kijana wa miaka 25
 
Ameseme tungeweka juhudi za kumsaidia while it's too late. tatizo letu hatuna utamaduni wa kusaidia pale mtu anapopatwa na tatizo..tunasubiri madhara yatokee ndo tusononeke

Sent using Jamii Forums mobile app

Je huu uzi wake wangapi waliona?kusema kweli mm sikuuona mpk leo nmeona uzi mwingine ukisema huyu mwenzetu atunae tena. Ila dunia ya leo mhonjwa kama TB ukifuatilia matibabu unapona.

Cha muhimu kukiwa na uzi kama huu tuwe tunaambiana haswa kwny zile nyuzi ambazo zinakuwa zinatrend
 
Je huu uzi wake wangapi waliona?kusema kweli mm sikuuona mpk leo nmeona uzi mwingine ukisema huyu mwenzetu atunae tena. Ila dunia ya leo mhonjwa kama TB ukifuatilia matibabu unapona.

Cha muhimu kukiwa na uzi kama huu tuwe tunaambiana haswa kwny zile nyuzi ambazo zinakuwa zinatrend
Ni kweli, hata mimi sikuona, ingawa pia wengi wetu huwa tunapuuzia mada kama hizi lkn ikishatangazwa amefariki tunajazana kusema r.i.p [emoji848].
Nadhani pia kungekuwa na jukwaa la watu wenye uhitaji kuomba msaada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu nimefatilia mabandiko yako 2-3 inaonekana dawa hizi zinakusumbua sana

kama una muda fanya kwenda hosp. tena na kujieleza,hii kuanzishiwa dawa bila ya vipimo naona haijakaa sawa.

Nakuombea upate nafuu mapema na uondokane na mateso haya.
Ndio Mungu keshampumzisha mbele ya haki. RIP kijana
 
Unaweza ukawa na shida ya ugonjwa lakini shida ya upweke ikawa kubwa zaidi kuliko ugonjwa.
Huyu kijana ni kama faraja yake alikua anaitafuta jamiiforum, huko alipokua alikosa watu wa karibu wa kushare nao anayopitia, wangekuepo wangempa faraja, wangemshauri na wangemwonyesha upendo

Pumzika kwa amani
 
Ameseme tungeweka juhudi za kumsaidia while it's too late. tatizo letu hatuna utamaduni wa kusaidia pale mtu anapopatwa na tatizo..tunasubiri madhara yatokee ndo tusononeke

Sent using Jamii Forums mobile app
@Demi binafsi niliwasiliana na huyu member kwa PM baada ya kumuuliza yupo mji upi kwa bandiko lake la tarebe 30/12/2019.

Kisha tarehe 31 nikamuelekeza aende hospitali ipi na anijulishe atakapofikia na kwa bahati mbaya hatukuweza kuwasiliana tena mpaka umauti unamkuta



Sent using Jamii Forums mobile app
 
@Demi binafsi niliwasiliana na huyu member kwa PM baada ya kumuuliza yupo mji upi kwa bandiko lake la tarebe 30/12/2019.

Kisha tarehe 31 nikamuelekeza aende hospitali ipi na anijulishe atakapofikia na kwa bahati mbaya hatukuweza kuwasiliana tena mpaka umauti unamkuta



Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri sana kiongozi. Ni siku yake ilikuwa imefika. Inasikitisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom