Msaada: Nataka kusitisha dawa za TB baada ya wiki

Very sad
 
Kukosa pumzi na kukohoa(bila kutoa makohozi) pamoja na kifua kubana(sijui kama kifua kina kubana) ni dalili za asthma. Ukisema uache dawa me nakuunga mkno nenda hosp kwa uchunguzi zaidi.
 
SAWA KABISA! Mwaka huu kama ingewezekana jamiiforums wangeongeza jukwaa la kusahidiana! Naona hii ingewafanya watu kuchukulia jambo kama hili kwa uzito wake na seriaz. (We all learned from mistake!)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…