GreatMkubwa
Member
- Jun 25, 2012
- 99
- 57
Huyu mtoa post kuna uzi umewekwa humu kuwa amefariki hapa namuona online kulikoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko hivi, ukiangalia last seen ya mtu kwa kutumia app ya JF mara zote itaonyesha yupo online. Ila ukitaka kujua uhalisia angalia kwa kutumia kivinjari (browser). Last seen halisi ni tangu january 4. Apumzike kwa amani.Swali gani hili?Mara ngapi wewe ukiwa unaumwa Simu unawaka ndugu zako wajibie SMS ndugu jamaa na marafiki?kuna wakati ukizidiwa mpaka ATM atampa MTU.Sio ajabu Hata kidogo...Na pia huwezi jua ndugu wa karibu wanatumia no.Yake kuwajulisha watu
Sent using Jamii Forums mobile app