Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gono hiloo.. Umevaa gonoo. Kaiz unayo. Wahi mapema clinicnina wiki sasa natoka usaha kwenye vyumba vya kubadilishia nguo! kuna pisi niliikuna sana wiki moja iliyopita sasa nahisi imeniachia unaa! sio kosa lake ni ubishi wangu maana aliniomba sana nivae mpira nikagoma katakata! nitumie dawa gani?
AZUMA itapendezanina wiki sasa natoka usaha kwenye vyumba vya kubadilishia nguo! kuna pisi niliikuna sana wiki moja iliyopita sasa nahisi imeniachia unaa! sio kosa lake ni ubishi wangu maana aliniomba sana nivae mpira nikagoma katakata! nitumie dawa gani?
Pole mwanetu ajali kazini next time usisahau kinga, I wish you a speed recovery ukipona tuendelee kuzichakata mkuunina wiki sasa natoka usaha kwenye vyumba vya kubadilishia nguo! kuna pisi niliikuna sana wiki moja iliyopita sasa nahisi imeniachia unaa! sio kosa lake ni ubishi wangu maana aliniomba sana nivae mpira nikagoma katakata! nitumie dawa gani?
Dah hizi pisi kali tunazipenda ila zina changamoto nyingi sanaKwanza acha kutomb malayaa
Pili usisahau kuvaa condom na gloves
Tatu wahi hospital mana Kuna mshikaji wangu hakwend hospital kwa mda mrefu akaanza kutoka magamba kama ya samaki...
Kama unajipenda huwezi hatarisha maisha yakoDah hizi pisi kali tunazipenda ila zina changamoto nyingi sana
hiyo ni gonoria nenda hospitali utaponaNina wiki sasa natoka usaha kwenye vyumba vya kubadilishia nguo! Kuna pisi niliikuna sana wiki moja iliyopita sasa nahisi imeniachia unaa! Siyo kosa lake ni ubishi wangu, maana aliniomba sana nivae mpira nikagoma katakata! Nitumie dawa gani?
Muache mwenzio afurahie kiugonjwa chake we nae😜😜😜pole
Ila ukome😅😅
Nenda hospital
Kajikuta mwamba 😅😅Muache mwenzio afurahie kiugonjwa chake we nae😜😜😜
Kiranga kwio😆
Wakiambiwa kuvaa soksi hawataki