Msaada, naweza kupata ramani ya Ikulu?

Msaada, naweza kupata ramani ya Ikulu?

ATTACH]
 

Attachments

  • 1477914866025.png
    1477914866025.png
    130.6 KB · Views: 12
Defeat is not an option, we kubali kiroho safi kuwa ndoto hiyo ilishakufa. Fanya mambo mengine mkuu.
 
Habarini wanajamvi,

Katika hatua za ukuaji wangu, niliwahi kuwa na ndoto za kuja kuishi Ikulu, but as the days go naona hiyo ndoto imepotea kabisa.

So, i want to build my own buildings that will resemble with state house, but my problem is how and where may I get a map of state house so as i can start construction.

Note: Dont confuse about cost, kwa maana naweza jenga hata kwa kutumia miti na majani(ni suala la ubunifu) tu.
Nimesoma humu Jamii forum GETRUDE LWAKATARE amekataliwa na SERIKALI kuwalipia watu faini ili watolewe GEREZANI, Hivyo kuwa makini na POST YAKO. Utafia kukoooooooooo kijaaaaaana eeeeeeeeeee
 
Nimesoma humu Jamii forum GETRUDE LWAKATARE amekataliwa na SERIKALI kuwalipia watu faini ili watolewe GEREZANI, Hivyo kuwa makini na POST YAKO. Utafia kukoooooooooo kijaaaaaana eeeeeeeeeee
post kama hizi zinaichora vibaya idara inayoshughulika na usalama

mnajenga Picha kuwa hao watu ni wazee wa kuuana n.k

WENZETU WAMEWEKA HADI TUTORIAL ZA KIJESHI YOUTUBE ILA HAPA UNAWEZA KUHOJI MAZOEzi AU MAFUNZO YANAYOPATIKANA JESHINI IKAONEKANA LABDA UNA NIA NYINGINE ISIYO KUWA NJEMA.
 
post kama hizi zinaichora vibaya idara inayoshughulika na usalama

mnajenga Picha kuwa hao watu ni wazee wa kuuana n.k

WENZETU WAMEWEKA HADI TUTORIAL ZA KIJESHI YOUTUBE ILA HAPA UNAWEZA KUHOJI MAZOEzi AU MAFUNZO YANAYOPATIKANA JESHINI IKAONEKANA LABDA UNA NIA NYINGINE ISIYO KUWA NJEMA.
Well said mkuu
 
Habarini wanajamvi,

Katika hatua za ukuaji wangu, niliwahi kuwa na ndoto za kuja kuishi Ikulu, but as the days go naona hiyo ndoto imepotea kabisa.

So, i want to build my own buildings that will resemble with state house, but my problem is how and where may I get a map of state house so as i can start construction.

Note: Dont confuse about cost, kwa maana naweza jenga hata kwa kutumia miti na majani(ni suala la ubunifu) tu.

Mkuu kweli kabisa ndoto yako imepotea chakukushauli rudi kitandani ukalale unaweza ukaota tena
 
Back
Top Bottom